Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Ni man united fan bt hiyo iko wazi big fella hana spd mkuu sema leo no one expected kilichotokea kazi iliyofanywa na kila mchezaji ni best performance nadhan hazard na kante wake watampa heshima yake herrera we done today. Now we are loking towards next game v anderlecht pale OT [HASHTAG]#GGMUFC[/HASHTAG]
Ukiwa kocha unapaswa kuwa na wachezaji wa aina tofauti kuna baadhi ya mechi hawa wachezaji msiowapenda Young,Fellaini na Lingard wanapaswa kucheza na ndio wanaiokoa timu.Ukiwa kocha huwezi kutumia approach moja kwenye game against Arsenal ukaitumia against Sunderland ukaitumia against Chelsea lazima uwe flexible na uwe na wachezaji wanafit kwenye mifumo tofauti na cha msingi ni kuwa kocha anaangalia,workrate za mchezaji anapowapa nafasi. Hakuna aliyetegemea kuwa Fabregas na Willian watapigwa benchi na Conte,Carlo Ancelotti anampiga benchi Tomas Muller Zidane anawapiga benchi Isco na James Rodriguez
 
Bado nina maswali mengi juu ya Pogba,ameridhika kwa pesa aliyonunuliwa,ameridhika kuwa mfalme pale old T,lakini mashabiki tunahitaji kumuona Pogba yule wa Juve sio huyu anayedunda uwanjani,pamoja na Ushindi wa leo bado ukitaja wachezaji watano walioperform hayupo katika tano bora

Ahahaha Pogba kapiga pasi 61 hakuna mchezaji uwanjani aliefikisha pasi 50,Pogba kapiga pasi 19 upande wa wapinzani hakuna mchezaji aliemshinda. Kazi aliyopewa leo ni kuhakikisha mabeki wako salama uku Herrera akihakikisha Hazard hafurukuti. Sio lazima Pogba afunge au assists ndio uone kacheza vizuri.
 
Ni kweli lakini kilikuwa Kitendo cha haraka mno so kwa refa ilikuwa ngumu kutafsiri kwa speed ile katika akili yake,aaaah aaaah no on shoot on goal kwa Chelsea kwa mara ya kwanza
Hakuzuia mpira kwa mkono mpira ulifata mkono na wakati huo mkono ulikuwa kwenye movement lakin ghafla akaufcha ule mkono ko ikawa 50 50 hata hivyo tufanye 1-0
 
mpaka imejiuliza tulikuwa wap kucheza kama hivi mechi 5 tu zaid leo tungekuwa mbali
but the team was fantastic
Ni kutokana na aina ya timu tuliyocheza nayo,kumbuka Chelsea Wana pressure kubwa kutokana na kukaribia kuchukua Ubingwa so waliingia na pressure kubwa sana,lakini Mou aliwasoma vema Chelsea leo,that y akapanga kikosi kilichocheza, nadhani hata Conte hakuamini alivyokiona.
 
Ukiwa kocha unapaswa kuwa na wachezaji wa aina tofauti kuna baadhi ya mechi hawa wachezaji msiowapenda Young,Fellaini na Lingard wanapaswa kucheza na ndio wanaiokoa timu.Ukiwa kocha huwezi kutumia approach moja kwenye game against Arsenal ukaitumia against Sunderland ukaitumia against Chelsea lazima uwe flexible na uwe na wachezaji wanafit kwenye mifumo tofauti na cha msingi ni kuwa kocha anaangalia,workrate za mchezaji anapowapa nafasi. Hakuna aliyetegemea kuwa Fabregas na Willian watapigwa benchi na Conte,Carlo Ancelotti anampiga benchi Tomas Muller Zidane anawapiga benchi Isco na James Rodriguez
Hakika mkuu uko ahihi....
 
Kama ni rating basi herrera ana 10/10 wengne wana 9/10 kama herrera ana 9/10 basi wengne wana 8/10 dgea peke ake ndo atakuwa na rating ndogo kwa sababu ali lax mda mwing...
 
Ahahaha Pogba kapiga pasi 61 hakuna mchezaji uwanjani aliefikisha pasi 50,Pogba kapiga pasi 19 upande wa wapinzani hakuna mchezaji aliemshinda. Kazi aliyopewa leo ni kuhakikisha mabeki wako salama uku Herrera akihakikisha Hazard hafurukuti. Sio lazima Pogba afunge au assists ndio uone kacheza vizuri.
Umeongea point ya msingi sana!!! Baada ya herera kucheza man to man na hazard obvious kulikua loop hole tayari na pogba ndio ilikua kazi yake kuiziba wakisaidiana na fellain!! Sasa wabongo hatuelewi..na hatujui kuwa serie A sio epl!! Na kocha wa juve sio sawa na mou katika technical aspect!! Leo timu imecheza kwa uzuri kabisa!!
 
Player Ratings

Manchester United: De Gea (7), Valencia (7), Bailly (7), Rojo (7), Darmian (7), Fellaini (7), Herrera (9), Young (8), Pogba (7), Lingard (7), Rashford (8)

Subs: Carrick (6), Ibrahimovic (6), Fosu-Mensah (6)

Chelsea: Begovic (5), Azpilicueta (6), Luiz (5), Cahill (6), Moses (5), Kante (5), Matic (6), Zouma (5), Pedro (6), Costa (4), Hazard (4)

Subs: Fabregas (5), Willian (6), Loftus-Cheek (6)

Man of the match: Ander Herrera
 
Umeongea point ya msingi sana!!! Baada ya herera kucheza man to man na hazard obvious kulikua loop hole tayari na pogba ndio ilikua kazi yake kuiziba wakisaidiana na fellain!! Sasa wabongo hatuelewi..na hatujui kuwa serie A sio epl!! Na kocha wa juve sio sawa na mou katika technical aspect!! Leo timu imecheza kwa uzuri kabisa!!

Watu hawangalii Data wao wanalalamika tu.
 
Kwa mtizamo wangu mimi,kila mtu alitimiza majukumu yake kwa zaidi ya asilimia 99% kulingana na maelekezo ya coach. Lakini kwa approach ya leo kwangu man of the match ni MOURINHO! Jamaa tactically anatisha. Na tatizo la man utd siku zote ni poor finishing,nafasi nyingi zinatengenezwa karibu kila mechi lakini wachezaji wanamuangusha. GGMU!
 
Screenshot_2017-04-16-21-34-06.png
 
Ni man united fan bt hiyo iko wazi big fella hana spd mkuu sema leo no one expected kilichotokea kazi iliyofanywa na kila mchezaji ni best performance nadhan hazard na kante wake watampa heshima yake herrera we done today. Now we are loking foward kwa next game v anderlecht pale OT [HASHTAG]#GGMUFC[/HASHTAG]
Mkuu big fella hakupangwa kumzuia hazard, hio kazi ilikuwa ya Herrera. Mwingine. Aliepewa man to man ni Daemian on Pedro. Na hao wote walikuwa neutralized.

Ni mara ngapi umeona Hazard akiwa kimya game nzima? Stop Hazard and u stop Chelsea, zero shot on target for the first time from I dont know when!
 
Back
Top Bottom