Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Sifa moja ya Mourinho ukimfunga mara ya kwanza next game anakuwa amejifunza so inabidi ujiandae sana,Game ya kwanza El Classico Pep alimfunga 5au 6 game zilizofuatia Pep alikuwa anapata tabu sana na msimu huu baada ya kufungwa na Pep na Conte mechi zilizofuatia amewapa wakati mgumu
Ni kweli... huwa anajifunza makosa sana.
 
Ahahahaha ata mim nataman tukishajihakikshia nafasi ya UEFA..hyoo game na tot tuuze tu ahahahaha
UEFA ipi iyoo labda ya Africa. .underletch anakuja kuwazaba hapo hapo na hamta amini ..kuifunga Chelsea basi mmejiona wazurii ..timu mbovu tuu
 
UEFA ipi iyoo labda ya Africa. .underletch anakuja kuwazaba hapo hapo na hamta amini ..kuifunga Chelsea basi mmejiona wazurii ..timu mbovu tuu
Ahahaha mpira mahesabu boss..unakumbuka team ambayo sir alex alichukua nayo ubingwa wakat anastaafu ile ilikuwa mbovu zaid ya hii..subili hutoamin macho yako..pia kumbuka tuna option mbili za kuingia UEFA

Sent from my TECNO-Y3+ using JamiiForums mobile app
 
Ahahaha mpira mahesabu boss..unakumbuka team ambayo sir alex alichukua nayo ubingwa wakat anastaafu ile ilikuwa mbovu zaid ya hii..subili hutoamin macho yako..pia kumbuka tuna option mbili za kuingia UEFA

Sent from my TECNO-Y3+ using JamiiForums mobile app
Mna option moja tu Europa ...huku kwingine nafasi zimejaa, na Europa kazi bado mnayo.
 
bf1973997ee4bdb927959ee87a15ca75.jpg


Naona Herrera ndio khabari ya mjini Pasaka hii...
 
anacheza kama pirlo ila ndio full kukosea
Watakuambia kapiga pasi nyingi kuliko mchezaji wowote yule, ukirudi kuangalia pasi zenyewe ni back to back tena zero distance, au pasi za nyuma, kama mpira ni pasi nyingi hata zisizokua na mipango leo arsenal angekua mbali kweli, kwa miaka mingi ndo bingwa wa kupiga pasi
 
Back
Top Bottom