Ferrenga
JF-Expert Member
- Dec 27, 2016
- 942
- 1,659
kabisa,alikuwa anacheza kati,mou kampeleka pembeni..mbona mwaka jana alikuwa vizuri alivyokuwa kati pale na akawa top scorer wetu last season..Sidhan kama kawa Useless, ile law ya Use and Disuse inamsumbua
