Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Wa tano ila tuna mechi mbili hatujacheza. Tukishindwa Liverpool tunampita. Halafu kwa ManCity wanatupita point nne lakini tuna mechi moja. Na bado tuna mechi nao.

Yaani weeeeeee wacha tu
Mna mechi nao kina nani? Mkuu nakuona unahangaika sana na liverpool. Liver umemuona wa kutoka hapo? Na hiyo mechi mliyoshinda leo ndiyo mmeona sasa miujiza itafuatia boss?


Mkuu, hamna mechi na Liverpool. Alafu tazama fixture yako vizuri kama utatoka salama.
 
Manchester United 2Chelsea 0
Ni man united fan bt hiyo iko wazi big fella hana spd mkuu sema leo no one expected kilichotokea kazi iliyofanywa na kila mchezaji ni best performance nadhan hazard na kante wake watampa heshima yake herrera we done today. Now we are loking foward kwa next game v anderlecht pale OT [HASHTAG]#GGMUFC[/HASHTAG]
 
Kafanya nn cha maana ? Unaongea 7bu man kashinda ! Kacheza mechi ngap mpk leo ndo 2mkubali ? Na ndo mcmu wake qa mwisho huu huyu kuli wako
Kama wanaojua mpira wameona kazi ya young leo ! Bc herrera itakuwa hakucheza kabisa
 
Bado nina maswali mengi juu ya Pogba,ameridhika kwa pesa aliyonunuliwa,ameridhika kuwa mfalme pale old T,lakini mashabiki tunahitaji kumuona Pogba yule wa Juve sio huyu anayedunda uwanjani,pamoja na Ushindi wa leo bado ukitaja wachezaji watano walioperform hayupo katika tano bora
 
Kikubwa Chelsea hakupiga shuti hata moja golini na hii ni mara yake ya kwanza kwa musimu huu. Ungeona baada ya mpira kwisha wachezaji wote wa Chelsea vichwa chini.

Washukuru Manutd watakwenda White Hart Lane vinginevyo ubingwa wangesahau baada ya kipigo hiki
Stats were very impressive today, pretty cool job by the lads
 
Chelsea wadai Herrera aliunawa kabla ya kutoa pande kwa Rashford
Ni kweli lakini kilikuwa Kitendo cha haraka mno so kwa refa ilikuwa ngumu kutafsiri kwa speed ile katika akili yake,aaaah aaaah no on shoot on goal kwa Chelsea kwa mara ya kwanza
 
Back
Top Bottom