Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Mkuu big fella hakupangwa kumzuia hazard, hio kazi ilikuwa ya Herrera. Mwingine. Aliepewa man to man ni Daemian on Pedro. Na hao wote walikuwa neutralized.

Ni mara ngapi umeona Hazard akiwa kimya game nzima? Stop Hazard and u stop Chelsea, zero shot on target for the first time from I dont know when!

Mara ya mwisho kucheza bila ya kupata shot on target ilikua 2007 hapo hapo OT.
 
Screenshot_2017-04-16-21-43-34.png
 
Huyu mou atakuwa anakula ugoro, huwezi kuwa na akili za namna hii nina uhakika hata Jamhuri Kiwhelo " Julio" hawezi kupanga kikosi kama hiki mbele ya chelsea
Plastic fans, yani tatizo lenu in kujidai kujua kila kitu! Ndio maana yeye ndio meneja
 
Mkuu big fella hakupangwa kumzuia hazard, hio kazi ilikuwa ya Herrera. Mwingine. Aliepewa man to man ni Daemian on Pedro. Na hao wote walikuwa neutralized.

Ni mara ngapi umeona Hazard akiwa kimya game nzima? Stop Hazard and u stop Chelsea, zero shot on target for the first time from I dont know when!
Na mm sijasema alipewa hazard mkuu big fella naye kafanya kazi nzuri sana ya kuharibu mipango ya kina kante na matic pale kati he was gud today. Hii ishapta naona umelishikia bango niwe waz tu big fella sio my favorite player kivile bt huwa sibez shughuli yake na natambua mchango wake pale OT tangu amekuja hivyo yan....
Hebu tuangalie next match mkuu anderletch burnley revival pale ethad tuone tunatoboaje pongez kwa wachezaji pongez kwa JM GGMUFC
 
Back
Top Bottom