Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Wewe na wenzio mjifunze ku analyse game sio mnaangalia visigino kanzu etc. Mpira wa Ulaya hawaangalii hivyo vitu.

Wanaojua mpira tu ndio wanaweza kuona kazi ya Ashley Young au Lingard. Umemiona Victor Moses leo? Unajua Lingard kakimbia km ngapi? Au amefanya sprint ngapi?

Msifikiri Mou mjinga kuweka bench talent kama Martial au Shaw. Football is more than just talent,its a war.
Kafanya nn cha maana ? Unaongea 7bu man kashinda ! Kacheza mechi ngap mpk leo ndo 2mkubali ? Na ndo mcmu wake qa mwisho huu huyu kuli wako
 
Hawa washabiki wengine upeo wao unaishia simba na yanga.
Sifa moja ya Mourinho ukimfunga mara ya kwanza next game anakuwa amejifunza so inabidi ujiandae sana,Game ya kwanza El Classico Pep alimfunga 5au 6 game zilizofuatia Pep alikuwa anapata tabu sana na msimu huu baada ya kufungwa na Pep na Conte mechi zilizofuatia amewapa wakati mgumu
 
Back
Top Bottom