Kuna watu walipata droo 3-3 walishangilia hadi wakasahau wana dakika 3 ambazo wangeweza kupata goli la ushindi.Yani io dro ndo inakupa kiwewe![]()
![]()
je ungeshinda sasaa ..wee kubali tu manfongo bado ni mbovu sanaa
Kwahio ukichezeshwa wrong position ndio ujifunge au kukosa goli la wazi? Overall perfomance yake haikuwa mbaya ni hayo tu makosa mawili.Amechezeshwa wrong position.
Mimi naona yako slow sana Arsenal kushangilia droo na Bournemouth na kushangilia kwa scorpion kick style!Maisha yako speed sana yaani man u inashangilia sare na stoke?
Haihitaji uwe rocket scientist. Ni muda unaoongezwa kufidia muda uliopotea kwasababu mbalimbali kama majeruhi etc.Full time:
Stoke city 1 vs 1 Manure
Sijajua logic ya kuongeza dakika 5.
But hongereni kwa kuondoa aibu
Ushabiki maandazi ndio kigezo kikuu.Sijui tunatumia kigezo gani kusema team mbovu
Si LiverpoolTimu "viazi"? Uliza Liverpool wametendwa nini na Swansea?
UmeniQuote Wrong Kabisa!!
Mimi Hapa Sikuzungumzia Usajili Wa Timu Kukosea!! NimQuote Kuhusiana Na Next Number 7 tu kama lilivyo Swali.... Na Nimemtumia Ronaldo Kama Kigenzo Kwa Sababu Ndiye Icon Wa Mwisho Kudeserve No 7...
Beckam Kapokea Kutoka Kwa Cantona...
Ronaldo Kapokea Kutoka Kwa Beckam....
Na Nani Atampokea Ronaldo??? Hiyo Ndiyo Point Yangu... Kwani Wengi Waliokusudiwa Wamefeli....
Na Hapo NimeQuote Kuhusiana na Swali Lililoulizwa... Na Hilo Swali Halikumdirect Mtu! Kwa Maana hiyo Kila Mtu Anaweza Kujibu...... Sasa Nashangaa Kukuona UnaniQuote Kuhusiana Na Liveroopl Wakati Sijauliza Swali......
Kila Timu ina ICON wa Namba Hilo Najua....
UmeniQuote Wrong Kabisa!!
Mimi Hapa Sikuzungumzia Usajili Wa Timu Kukosea!! NimQuote Kuhusiana Na Next Number 7 tu kama lilivyo Swali.... Na Nimemtumia Ronaldo Kama Kigenzo Kwa Sababu Ndiye Icon Wa Mwisho Kudeserve No 7...
Beckam Kapokea Kutoka Kwa Cantona...
Ronaldo Kapokea Kutoka Kwa Beckam....
Na Nani Atampokea Ronaldo??? Hiyo Ndiyo Point Yangu... Kwani Wengi Waliokusudiwa Wamefeli....
Na Hapo NimeQuote Kuhusiana na Swali Lililoulizwa... Na Hilo Swali Halikumdirect Mtu! Kwa Maana hiyo Kila Mtu Anaweza Kujibu...... Sasa Nashangaa Kukuona UnaniQuote Kuhusiana Na Liveroopl Wakati Sijauliza Swali......
Kila Timu ina ICON wa Namba Hilo Najua....
Naona Wenyewe Wanamiminika Kutoka Mafichoni Baada Ya Kupotea Kwa Mda.....
Dah! Pongezeni Angalau Kwa Kuibuka Na Kapoint Kamoja Unlike Me Niliyelamba Ndimu......
But Stiill You Have a long Way to go till to get a Spurs or Chelsea....
For me Everything had fallen apart....
Hawa stoke mwaka huu umebana game zote sio mbaya tujipange kwa game zijazo
Tatizo Msimu Huu Aliyewaroga Katumia Nyota Ya Jogoo! Na Ndiyomana Liver Akiharibu na Nyinyi Munaharibu..... Mechi ijayo Munashinda Coz Liver Atamfunga Chelsea.....
Liver Hufungwa na Vibonde sio Wale Wanaojiita Big Teams Kama Chelsea! Prove Me Wrong....
Mimi pia nasikia kama wewe kwamba " ... refa aliyechezesha haipendi man u na hampendi morinho". Na ndio sababu refa akatoa free kick badala ya penalty. Ile ilikuwa ni penalty kweli kweli. kwii kwiiii, khe kheeeeee
Ninachokiona ni mechi nyingi ambazo Man United wameshafungwa, huongezwa dakika kuanzia 5-8 za nyongeza. Hii inafanyika kimipango au kibahatinasibu?