Sasa apo ajafungwa halafu yuko pale pale ..je angekuwa anafungwa sasaHivi man u hajafungwa mechi ya ngapi mfululizo?

Acha ub.wege nazi kwan match ya river vs Swansea ziliongezwa dk ngap???Full time:
Stoke city 1 vs 1 Manure
Sijajua logic ya kuongeza dakika 5.
But hongereni kwa kuondoa aibu
Yani io dro ndo inakupa kiweweSawa umepata majibu sasa
je ungeshinda sasaa ..wee kubali tu manfongo bado ni mbovu sanaaMkuu hizi gemu 2 zimeniuma kweli (stoke & liva)Am dissapointed with a draw, tumecheza vibaya. We have stuck at 6 again.
Rooney is a legend kwa level ya club kasha shinda kila alicho kishindania. Jamaa namkubali sana.
Wanashangilia goli la rooney sio sareMaisha yako speed sana yaani man u inashangilia sare na stoke?
Bora umemjibuWanashangilia goli la rooney sio sare
Mie pia naona kuwa yes tumekuwa undefeated lakin tumedrop points 4, sasa cha kuombea ni labda liva wafungwe na chelsea ili wawe wametupita point moja.Mkuu hizi gemu 2 zimeniuma kweli (stoke & liva)
Mata ameanza leo,umeona alichofanya ?Khe khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeee
Amechezeshwa wrong position.Mata ameanza leo,umeona alichofanya ?
Ulitakaje labda?? Acha uvimba machoYani io dro ndo inakupa kiwewe![]()
![]()
je ungeshinda sasaa ..wee kubali tu manfongo bado ni mbovu sanaa
Hupendi ukweli!Ulitakaje labda?? Acha uvimba macho
Mie ndio kabisaaa sinaga hamu nae![]()
Hivi hili pimbi huwa lina ajenda gan likichezesha mechi za MAN U,
Linakataa clear penalt kabisaa, na sio mara ya kwanza kufanya upuuzi huu,
Huwa nikimuona kwenye game zetu basi nataman hata nisiangalie
![]()
Bado mwendawazimu anawaza ubingwa,acha tushangilie rekodi za Rooney maana mengine yametushinda kheeeee kheeeeeee chizi haponi ila anapata nafuu tu.
