Leloo June
JF-Expert Member
- May 5, 2016
- 1,012
- 945
Ata game ya Liverpool na City za leo wameongeza hizohizo dakika, Na hii game kwavyovyote vile wale stoke city walikuwa awana ubavu wa kutoka na points zote 3 so ata wangeongeza dk 1 basi baba kai angewaeka dk ya 90Lazima mtoe pongezi kwa 4th official aliyeongeza dakika 5 za ziada. Zilitakiwa kuwa dakika 2 au 2.5 na mngelilia kama watoto wa chekechea.