Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Hili swali naona kuna wajuaji wamelirukia eti next ronaldo. Jamani jezi namba 7 man utd ni icon.

Wachache waliovaa ni kama Cantona, Beckham, Ronaldo....ukipewa jezi hii lazima uwe 'icon' siku ukiitundika na sio uwe kama Ronaldo.

Valencia alipewa akairudisha, Memphis alipewa kachemsha sio kitu rahisi kuienzi jezi namba 7 ya man utd.....nasisitiza jezi namba 7 sio kuwa next CR7 hata yeye aliikuta na iconic image yake.

Umemsahau G.Best.
 
tatizo liverpool imesajili wachezaji wengi waliochemsha hawajulikani na huwa hawapei tension na media walishajifia kitambo toka 1992

wakina carrol kama torres

banteke kama suarez

kuna yule wa italy kila mech mgonjwa kama gerard

moreno kama caragha

danny ings


ibe


UmeniQuote Wrong Kabisa!!
Mimi Hapa Sikuzungumzia Usajili Wa Timu Kukosea!! NimQuote Kuhusiana Na Next Number 7 tu kama lilivyo Swali.... Na Nimemtumia Ronaldo Kama Kigenzo Kwa Sababu Ndiye Icon Wa Mwisho Kudeserve No 7...
Beckam Kapokea Kutoka Kwa Cantona...
Ronaldo Kapokea Kutoka Kwa Beckam....
Na Nani Atampokea Ronaldo??? Hiyo Ndiyo Point Yangu... Kwani Wengi Waliokusudiwa Wamefeli....

Na Hapo NimeQuote Kuhusiana na Swali Lililoulizwa... Na Hilo Swali Halikumdirect Mtu! Kwa Maana hiyo Kila Mtu Anaweza Kujibu...... Sasa Nashangaa Kukuona UnaniQuote Kuhusiana Na Liveroopl Wakati Sijauliza Swali......
Kila Timu ina ICON wa Namba Hilo Najua....
 
KUELEKEA GAME NA STOKE CITY:

Hakuna Majeruhi.,Ni Matatizo Madogo Madogo Tu Ya Kawaida. Hakuna Injury Yeyote Kubwa.,Khali Ni Nzuri.

Mou Hajari Sana Kuhusu Unbeaten Run.,Ni Mwenendo Mzuri Ila Hachezi Ili Kulinda Unbeaten Run,Anachopambania Ni Kushinda Mechi Husika.

Kuhusu Kuongezea Wachezaji Baada Ya Kuuza Mou Anasema Baadhi Ya Nafasi Zina Watu Wa Kutosha.,Nafasi Nyingine Hawapo Wa Kutosha Lakini Khali Ya Majeruhi Haitishi Pia Hivyo Anaamini Anaweza Kwenda Na Waliopo Mpaka Mwisho Wa Msimu. Anasema Dirisha Zuri Kwa Usajiri Ni Lile Kubwa.,Hili Dogo Usajiri Sana Sana Huwa Ni Kwa Dharura Tu.

Kuhusu Ashley Young Kutakiwa China Kasema Hajui Lolote.,Kazisikia Kwenye Media Pia,Na Young Hajamwambia Lolote Kuhusu Hilo.

Kuhusu Memphis Kutong'ara Msimu Huu Anasema Ni Ngumu Kujua Sababu.,Maana Sio Inshu Ya Msimu Huu Tu.

Alikuwa Na Tabia Nzuri,Aliheshimu Kila Mtu Na Alikuwa Akijituma Kwa Bidii Mazoezini Ili Kupata Nafasi Nyingi Za Kucheza.,Na Kukosa Nafasi Hizo Kulimchanganya Sana.

Hana Kibaya Cha Kusema Juu Yake.,Alikuwa Akicheza Nafasi Ambayo Ina Ushindani Mkubwa Maana Wingers Wapo Wengi Na Kupata Nafasi Ni Ngumu.

Wapo Watu Kama 7 Wanaotakiwa Kucheza Nafasi 2 Za Wingers.,Na Ni Ngumu Zaidi Kupata Nafasi Ikizingatiwa Ni Position Ambayo Haina Shida Sana,Za Majeruhi Nk.

Alikuwa Akikipiga Fresh Ligi Ya Kwao.,Japo Sio Ya Ushindani Sana. LvG Alifanya Poa Kumnunua.,Maana Alikiona Kipaji Chake Na Alimjua Vizuri Tangu Wakiwa Timu Ya Taifa.

Hakufanya Vizuri Alipokuwa Man United Ila Ni Muhimu Kwa Club Kuweka Buy Back Option Kwenye Mkataba Wake.,Yeye Na Uongozi Mzima Wanamtakia Kila La Kheri,Labda Kuna Siku Atarudi Maana Anapendwa Na Kila Mtu.

[HASHTAG]#mufc4life[/HASHTAG]
 
possible mourihno lineup

847.jpg


Badala ya Pogba weka Mata.


Otherwise naona draw au mkifungwa!
 
Bebe namba 9
Macheda namba 9
Young namba 11
Anderson namba 10
Morison namba 10
Mda mwingine mkiwa mnaleta vitu ni bora mkashirikisha na akili zenu kuliko kuonyesha upumbavu wenu.
Braza kumbe ujanielewa nimepost hiyo screenshot kwasababu gani, ebu chek tena vizuri labda siku nyingine wewe ndio ujaribu kuelewa vitu vizuri kabla ya kumjibu mtu.
 
sidhani kama carrick ataanza bali nionavyo fellaini muhimu kuthibiti dead balls ambazo stoke city hutegemea mno kutengeneza magoli yao...................
Hapo kwa fellani ni tatizo akianza, anza na wakina Carrick piga stoke mapema baadae ndio unamleta huyo fella ila jamaa akianza kushinda ni tatizo.
 
KUELEKEA GAME NA STOKE CITY:

Hakuna Majeruhi.,Ni Matatizo Madogo Madogo Tu Ya Kawaida. Hakuna Injury Yeyote Kubwa.,Khali Ni Nzuri.

Mou Hajari Sana Kuhusu Unbeaten Run.,Ni Mwenendo Mzuri Ila Hachezi Ili Kulinda Unbeaten Run,Anachopambania Ni Kushinda Mechi Husika.

Kuhusu Kuongezea Wachezaji Baada Ya Kuuza Mou Anasema Baadhi Ya Nafasi Zina Watu Wa Kutosha.,Nafasi Nyingine Hawapo Wa Kutosha Lakini Khali Ya Majeruhi Haitishi Pia Hivyo Anaamini Anaweza Kwenda Na Waliopo Mpaka Mwisho Wa Msimu. Anasema Dirisha Zuri Kwa Usajiri Ni Lile Kubwa.,Hili Dogo Usajiri Sana Sana Huwa Ni Kwa Dharura Tu.

Kuhusu Ashley Young Kutakiwa China Kasema Hajui Lolote.,Kazisikia Kwenye Media Pia,Na Young Hajamwambia Lolote Kuhusu Hilo.

Kuhusu Memphis Kutong'ara Msimu Huu Anasema Ni Ngumu Kujua Sababu.,Maana Sio Inshu Ya Msimu Huu Tu.

Alikuwa Na Tabia Nzuri,Aliheshimu Kila Mtu Na Alikuwa Akijituma Kwa Bidii Mazoezini Ili Kupata Nafasi Nyingi Za Kucheza.,Na Kukosa Nafasi Hizo Kulimchanganya Sana.

Hana Kibaya Cha Kusema Juu Yake.,Alikuwa Akicheza Nafasi Ambayo Ina Ushindani Mkubwa Maana Wingers Wapo Wengi Na Kupata Nafasi Ni Ngumu.

Wapo Watu Kama 7 Wanaotakiwa Kucheza Nafasi 2 Za Wingers.,Na Ni Ngumu Zaidi Kupata Nafasi Ikizingatiwa Ni Position Ambayo Haina Shida Sana,Za Majeruhi Nk.

Alikuwa Akikipiga Fresh Ligi Ya Kwao.,Japo Sio Ya Ushindani Sana. LvG Alifanya Poa Kumnunua.,Maana Alikiona Kipaji Chake Na Alimjua Vizuri Tangu Wakiwa Timu Ya Taifa.

Hakufanya Vizuri Alipokuwa Man United Ila Ni Muhimu Kwa Club Kuweka Buy Back Option Kwenye Mkataba Wake.,Yeye Na Uongozi Mzima Wanamtakia Kila La Kheri,Labda Kuna Siku Atarudi Maana Anapendwa Na Kila Mtu.

[HASHTAG]#mufc4life[/HASHTAG]
Interview nzuri kabisa
 
Back
Top Bottom