KUELEKEA GAME NA STOKE CITY:
Hakuna Majeruhi.,Ni Matatizo Madogo Madogo Tu Ya Kawaida. Hakuna Injury Yeyote Kubwa.,Khali Ni Nzuri.
Mou Hajari Sana Kuhusu Unbeaten Run.,Ni Mwenendo Mzuri Ila Hachezi Ili Kulinda Unbeaten Run,Anachopambania Ni Kushinda Mechi Husika.
Kuhusu Kuongezea Wachezaji Baada Ya Kuuza Mou Anasema Baadhi Ya Nafasi Zina Watu Wa Kutosha.,Nafasi Nyingine Hawapo Wa Kutosha Lakini Khali Ya Majeruhi Haitishi Pia Hivyo Anaamini Anaweza Kwenda Na Waliopo Mpaka Mwisho Wa Msimu. Anasema Dirisha Zuri Kwa Usajiri Ni Lile Kubwa.,Hili Dogo Usajiri Sana Sana Huwa Ni Kwa Dharura Tu.
Kuhusu Ashley Young Kutakiwa China Kasema Hajui Lolote.,Kazisikia Kwenye Media Pia,Na Young Hajamwambia Lolote Kuhusu Hilo.
Kuhusu Memphis Kutong'ara Msimu Huu Anasema Ni Ngumu Kujua Sababu.,Maana Sio Inshu Ya Msimu Huu Tu.
Alikuwa Na Tabia Nzuri,Aliheshimu Kila Mtu Na Alikuwa Akijituma Kwa Bidii Mazoezini Ili Kupata Nafasi Nyingi Za Kucheza.,Na Kukosa Nafasi Hizo Kulimchanganya Sana.
Hana Kibaya Cha Kusema Juu Yake.,Alikuwa Akicheza Nafasi Ambayo Ina Ushindani Mkubwa Maana Wingers Wapo Wengi Na Kupata Nafasi Ni Ngumu.
Wapo Watu Kama 7 Wanaotakiwa Kucheza Nafasi 2 Za Wingers.,Na Ni Ngumu Zaidi Kupata Nafasi Ikizingatiwa Ni Position Ambayo Haina Shida Sana,Za Majeruhi Nk.
Alikuwa Akikipiga Fresh Ligi Ya Kwao.,Japo Sio Ya Ushindani Sana. LvG Alifanya Poa Kumnunua.,Maana Alikiona Kipaji Chake Na Alimjua Vizuri Tangu Wakiwa Timu Ya Taifa.
Hakufanya Vizuri Alipokuwa Man United Ila Ni Muhimu Kwa Club Kuweka Buy Back Option Kwenye Mkataba Wake.,Yeye Na Uongozi Mzima Wanamtakia Kila La Kheri,Labda Kuna Siku Atarudi Maana Anapendwa Na Kila Mtu.
[HASHTAG]#mufc4life[/HASHTAG]