Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United loanee Andreas Pereira seems to be enjoying life over in Spain.



Anaendelea kufanya vizur huko granada
 
Unaijua football? Unajua utani wake?unafahamu kama football ni utamaduni ambao unajitosheleza?siku nyingine chagua netball dada angu maana uku kwetu ku-troll ni maisha yetu ya kila siku najua haujui mimi Arsenal naitwa Arse8 wala haujui kua Chelshit ni RENT BOYS na Utd ni Manure next time tafuta mchezo mwingine wa kushabikia huu utamaduni wetu wa soka una vitu vingi.
Naamini utajifunza kidogo na kesho acha kelele zako za familia maana mimi nina watoto miaka lundo hata watoto wangu hawajawahi kuiona timu yangu ikibeba kombe ila nipo naamini kwenye utamaduni huu na ninaupenda kama unataka mambo ya familia nenda kule MMU uku sisi ni FOOTBALL kwa kila kitu kuanzia kula,kunywa,kulala etc sina ugomvi na shabiki mwenzangu wa soka namtamia kama wanavyonitaia simply BACK OFF.
kwahyo Arse8 ni tusi? anyway nimejifunza kitu inawezekana mazingira ya ushabiki ni tofauti, mazingira yako yanakuruhusu kuongea hilo neno na ukaonekana wa kawaida ila kwa mazingira yangu nimeona umeongea ushabiki ambao umevuka mipaka.

Mpira wa miguu sijaanza kushabikia jana aisee ..... napenda mpira na wanaojua wananijua napenda mpira uko kwingine sijawahi kupapenda hata kwa bahati.
 
Jamani ...kunaumhimu wa pogba kubadirika maana anapoza sana mashambulizi anapopewa pasi ...mf Jana kapewa pasi .rashiford a naomba wala hata hana haraka yani ..inabindi aongezee speed yani km hivyo tu atakuwa atakuwa anatulostisha
 
kwahyo Arse8 ni tusi? anyway nimejifunza kitu inawezekana mazingira ya ushabiki ni tofauti, mazingira yako yanakuruhusu kuongea hilo neno na ukaonekana wa kawaida ila kwa mazingira yangu nimeona umeongea ushabiki ambao umevuka mipaka.

Mpira wa miguu sijaanza kushabikia jana aisee ..... napenda mpira na wanaojua wananijua napenda mpira uko kwingine sijawahi kupapenda hata kwa bahati.


wasikupe shida hao waathirika wa manchester united anaangalia stoke ashinde hajui refa kanyima penat mbili analilia dakika tu hajui kuwa dakika 6 ni chache sio sawa na 90 kama umeweza kulinda goli dakika 90 unashindwaje dakika 4? mbon swansea kalinda goli zake ndani ya dakika 6 za liver? tena nyumban kwa liver stoke yupo kwake
 
Jamani ...kunaumhimu wa pogba kubadirika maana anapoza sana mashambulizi anapopewa pasi ...mf Jana kapewa pasi .rashiford a naomba wala hata hana haraka yani ..inabindi aongezee speed yani km hivyo tu atakuwa atakuwa anatulostisha
Ndo uwezo wake ulipoishia sasaa... hakuna namna!
 
Back
Top Bottom