Ubumuntu
JF-Expert Member
- Oct 21, 2010
- 14,382
- 10,951
Kam unaona SAF anajitetea, basi sawa.Mtandao kwangu una sumbua lakin hapa nnacho kutab chake
Na nlisoma habar aliyo ongea wakat Moyo yuko soceadad
Nabalijitetea vitu, tofaut kidogo, et just alimwambia pep wata wasiliana, cjui ampigie, pep hakufanya hvo, it was not a real deal, na Kuhusu Mou hata kwenye kitab chake ana sema wakiangalia longevity (kukaa kwa mda mrefu) ambayo mou hana.
They didnt offer any deals to other coaches , they just considered them, moyes hata kama haukuwa chaguo la kwanza, wao alikuwa mtu wa kwanza walio m offer a real deal.
Nsha fuatilia sana kujitetea kwa Sir Alex mkuu, cjui kama article yako italeta jipya sema nkipata mtandao mzur ntasoma na kama liko jipya ntajibu
NB: huwezi kum-offer deal kocha ama mchezaji kabla ya kum-consider na kuangalia uhalisia wa kumpata.
mufanyiwe wepesi ili tamaa ya mioyo yenu itimie.