Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

jaribu kufatilia historia yake ya biashara kati ya Man U na Tote,kumnunua Carrick,Barbatov kwa Modric na Bale aligoma kutuuzia kabisa

Levy anachotaka ni hela tu,Bale alishaamua kwenda Real Madrid.SAF alishakutana na Pep,Mourinho lakini hawakuja United sidhani kama kikao cha Pochetino na SAF tena public kabisa ndio Pochetino atakuja United
 
Swansea wapo onfire...doh! Aisee ndiyo umekosa imani na timu hivyo? Bournemouth watafungwa vizuri tu OT...na Swansea will do us a favour..
#Believe
twende uefa kufanya nini kutia aibu n van gaal tusifuzu timu ya ushindani kabisa
 
ImageUploadedByJamiiForums1462922462.424805.jpg
 
Pochettino akikubali, Levy hana ujanja...kocha siyo kama mchezaji...na Pochettino hawezi kukataa ofa ya United...
Mkuu kuna sababu nyingi sana za poch Kubaki spurs kuliko kuja utd
 
Yani nimeamkia comments nikakutana na Martiaaaaaaaa.....2. Chozi likanidondoka kwa furaha lakini nilivoendelea mbele mhhhh.....
Man U mnatutesa aiseee dah!!!!!
 
Man city anahitaji sare tu vs Swansea so Mashetani imekula kwenu. Europa is waiting next season
 
Duhhh!!! Maisha bado yanaendelea....... #GGMU
Yap yap ila hiki kipindi cha mpito hiki?vp dada yangu jana pia ulikuwa uvunguni au ulikomaa unaangalia game?jana nimeiona mpaka mwisho kiukweli tuna safari ndefu na huyu mzee angeondoka tu mpira wa sasa unahitaji makocha vijana zile falsafa za kina Vicente dela bosque kamacho na harry mara marcelo lippi zimepitwa na waqt tunaumizana jamani.
 
Back
Top Bottom