Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Asante Mungu kwa siku hii ya leo ambayo tuliingoja kwa hamu kwa uwezo wako tumefika,Mungu wangu sina lingine ninalohitaji zaidi ya point 3 tu,wawezeshe wachezaji wetu watumie effectively nafasi wanazopata wacheze kwa bidii zote,vile vile mpe hekima LVG apange kikosi Chake vizuri,naamini na asante kwa kuwa umeniskia na tutaendelea kukaa pale juu mpaka mwisho, watu wote waseme Amen.

#GGGMU

😂😂😂 bila
 

Attachments

  • 1443985103616.jpg
    1443985103616.jpg
    23.4 KB · Views: 141
Last edited by a moderator:
Wenger hakawii kuwaudhi kiasi cha kupaza sauti aondoke. Furaha kidogo machungu ya milele

Hahahaaaa wenger ni noma mkuu...
Ndani ya dkk 19 vitatu duuh...
Mimi ni man u ila mbinu ya wenger nimeikubal
 
Nzi hutaki vikatuni leo!??
 
Last edited by a moderator:
  • Thanks
Reactions: Nzi
Asante Mungu kwa siku hii ya leo ambayo tuliingoja kwa hamu kwa uwezo wako tumefika,Mungu wangu sina lingine ninalohitaji zaidi ya point 3 tu,wawezeshe wachezaji wetu watumie effectively nafasi wanazopata wacheze kwa bidii zote,vile vile mpe hekima LVG apange kikosi Chake vizuri,naamini na asante kwa kuwa umeniskia na tutaendelea kukaa pale juu mpaka mwisho, watu wote waseme Amen.

#GGGMU

Shem nimekukubali kwa maombi. mungu wako ni mungu wa ajabu....
 
Is it real 3:0 in 20 minutes ........ Teeeehe teeeeehe we made the record
 

Attachments

  • 1443986651254.jpg
    1443986651254.jpg
    23.5 KB · Views: 140
Back
Top Bottom