Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Muller na Lewandoski kuhamia Man Utd ni ndoto za saa saba mchana baada ya kushiba ugali na nguru. Hahahaha eti kipigo hakijakuuma...wewe ni mtu wa kuigwa kwa namna ya kujipa moyo katika wakati mgumu. Tukutane Old Trafford sijui next year. Wasalimie kina DonDonald, Belo, RRONDO, Bulldog, mfarisayo et la ambao hawajaonekana hapa tangu dakika ya 30 ya mechi
Hujamuelewa alichomaanisha...ni hivi baada ya mechi za kufuzu za Euro mtakutana na Bayern katika CL basi hawa jamaa wawili watawafanya muanze kampeni zenu za Wenger out hope umeelewa sasa
 
Van Girl is nothing., tumemkata mdomo et Martial mchezaji wa football hawez kuwa na jina la kike

Huyo martial unaemtukana kocha wako siku mbili zilizopita alikua analia kwamba walidanganywa na Monaco kwamba hauzwi, alafu inaonekana umeanza kuangalia mpira juzi wewe, asharvin, Olivier hayo majina ya kiume?
 
Yaani wewe hustahili kuwa jukwaa hili...hivi huwezi kuchangia bila kutukana? Maana wewe posts zako karibu zote ni matusi tu.

Wewe jamaa wa wapi? 😡😡

Hivi nani ni moderator wa jukwaa hili amshughulikie huyu mamluki?

Mkuu huyu dogo nahisi atakuwa form four leaver au kawa addicted sana na fb mi huwa nampotezea japokua maneno yake yanachefua sana.
 
  • Thanks
Reactions: Nzi
11219511_1602016539838556_1781927338442617338_n.jpg
 
12122473_1601921426514734_3984859814737735966_n.png


KHE KHE KHE KHE KHE KHE KHEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEE
 
Mkuu hujaelewa vizuri post yake nahisi furaha imekuzidi sana hadi unashindwa kusoma post kwa ufasaha maana arsenal kuifunga man ni zaidi ya ubingwa. BTW hongereni sana.
herrera sio finally unaweza sema arsenal wako vizuri as simple as that sio kubeza kama mlivyo zoea. Man u ni wabovu mapaka waje kukaa sawa si leo we arsenal tuna enjoy not only the fact of having sanchez(turufu) but kipa mzuri peter Czech na players wanaoshika kasi kila kukicha kwa kudumu kikosini takribani miaka mitatu unaweza sema wamezoeana haswa so kwetu kurudi mchezoni haitupi shida ikiwa tuna Hector, concialyne,Paulista martesacker... Safu yetu ya ulinzi but kuna kitu nimeanza kukiona siku za karibuni arsenal wanacheza kama team kitu ambacho natoa shout out kubwa mnoo.... Ila man inamatatizo mengi kiasi mpaka itulie mjipange kwa haraka haraka winger kushoto hovyo, beki hovyo, foward iko makini sana sema striking force ndogo sababu kiungo pia haiko sawa afu kwa ujumla man u ya sasa imekosa kasi kabisa yani na inapotokea mtu kama mata akashindwa kuiforce kuingia means ngoma nzito.... Baadae nikaona amemuingiza Valencia ndio anakasi lakini maarifa hana nafikiri angekuingiza wewe ingesaidia mwisho kabisa man u nzima imekosa mtu wa ubunifu na kulazimisha kama carzola au sanchez pengine walcot au chamberlain
 
Last edited by a moderator:
Last night, we lost 3-0 in 19 minutes and there were no 10 things to learn - however, these are 10 feelings...
1. A loss to Arsenal is a very, very painful thing.
2. Sometimes you lose the plot - it's inexplicable, but it happens.
3. Memphis Depay and Wayne Rooney should be benched on the next game.
4. Darmian can also have a bad game - maybe it was moving from left to right and then left again...
5. Despite getting the composure in the second half (and second half of the first half); there was no will to kill the game or at least equalise.
7. When it's bad, it's bad - accept it and move on.
8. Chris Smalling had a good game - despite the 3 goals, he didn't give in.
9. Anthony Martial kept threatening - but he was a drop in a desert of shocking disbelief!
10. This loss is even more painful because, there will be an international break!!!!
--- There
12063540_410076325853510_5799869577864374320_n.jpg
 
Huyo martial unaemtukana kocha wako siku mbili zilizopita alikua analia kwamba walidanganywa na Monaco kwamba hauzwi, alafu inaonekana umeanza kuangalia mpira juzi wewe, asharvin, Olivier hayo majina ya kiume?


Thea Walcot.
 
Nilijua matokeo yangekuwa vile jana,Van Gaal ni mbishi mno,anabishana mpaka na ukweli linapokuja swala la Rooney na Depay.To make things even worse,akamchezesha Young beki ya kushoto na kuwaacha mabeki halisi benchi,hapa namzungumzia Jones aliye fit kwani angeweza kucheza na Smalling katikati halafu Blind akaenda kushoto kisha Young akasogea mbele.Akamaliza uchizi wake kwa kuwachezesha Carrick, Bastian na Rooney ktk kiungo akimwacha Morgan bench,you can imagine how mess it was in the midfield position when you have Carrick and Rooney around Bastian.Carrick hawezi kuendana na kasi ya viungo wa Arsenal kwasababu ya umri na majeruhi ya mara kwa mara,yamempunguza kasi kwa kiasi flani,LVG alipaswa kulijua hili herrera CUTEb.
 
Last edited by a moderator:
Man u wanamtindo wa kununua marefa ndugu usishangae

Acha propaganda wewe!!!! Kama ndo hivyo basi hata kufungwa ingekuwa ndoto BTW nunueni na nyie kama maisha rahisi kiasi hicho, Hongera naona BR out.......
 
Acha propaganda wewe!!!! Kama ndo hivyo basi hata kufungwa ingekuwa ndoto BTW nunueni na nyie kama maisha rahisi kiasi hicho, Hongera naona BR out.......

Saizi mtupishe nasafi yetu koh Koh
 
Back
Top Bottom