Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Mm mbovu toka 1990's lkn nyie mpo kwenye denial stage!Sioni kwa miaka ya karibuni ku retain EPL
Karibu wachezaji wote leo hamna hata mmoja mwenye hadhi ya kuichezea Man U ya babu

Pole naona BR keshafukuzwa .... .... ..
 
Ki ukweli hii game LvG amewapa Gooners...pamoja na kuwa jamaa walianza na presha ya hatari...tungekuwa na Morgan akicheza na Bastian au Carrick, naamini matokeo yangekuwa tofauti..

Pia ni heri Jones angecheza na Smalling, huku Blind akicheza left back...

Anyway..it was bad day at the office...na nafasi tuliyopo siyo mbaya ukilinganisha na last season...we are better this season....

@Wacha mbwembwe mkuu ..... ... mcheza kwao hutuzwa ...Ding ... Dong.
 
Oh! Vyema basi, maana tumeshacheza na Liverpool. Kwahiyo hapo unataka kusema nayo siyo wa maana eh?!

Liverpool hamna team pale,hata sare ya leo ni kubahatisha tu!Hadi atoke BR tutakuwa OK
 
Asante Mungu kwa siku hii ya leo ambayo tuliingoja kwa hamu kwa uwezo wako tumefika,Mungu wangu sina lingine ninalohitaji zaidi ya point 3 tu,wawezeshe wachezaji wetu watumie effectively nafasi wanazopata wacheze kwa bidii zote,vile vile mpe hekima LVG apange kikosi Chake vizuri,naamini na asante kwa kuwa umeniskia na tutaendelea kukaa pale juu mpaka mwisho, watu wote waseme Amen.

#GGGMU

Hiyo sala haikuvuka hata Ppf tower
 
mfilisti is a MAN U fan die hard whatever it takes wther we loose, draw or win i will always sing GLORY GLORY MANCHESTER UNITED

what i know is that i'll die for Man U

May be when the colour of my blood change to white i'll stop be part of REDS
 
Last edited by a moderator:
Brendan Rodgers next Manchester United manager. Keep it British... After Manchester United sacking Giggys offcourse
 
Liverpool hamna team pale,hata sare ya leo ni kubahatisha tu!Hadi atoke BR tutakuwa OK
Dua yako imepokelewa.
BREAKING: Rodgers sacked as Liverpool boss

Statement from Liverpool owners, the Fenway Sports Group: "Although this has been a difficult decision, we believe it provides us with the best opportunity for success on the pitch.
"Ambition and winning are at the heart of what we want to bring to Liverpool and we believe this change gives us the best opportunity to deliver it.
"The search for a new manager is under way and we hope to make an appointment in a decisive and timely manner."

Mr . Dick jana, leo Rogers, next week Mou.
 
Khe khe khe khe khe khe khe khe khe khe khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeee
 
Ntuzu naomba uje na handkerchief za kutosha mkuu...kuna watu walitukana mamba kabla ya kuvuka mto
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom