everlenk
JF-Expert Member
- Oct 5, 2012
- 11,628
- 15,032
Hazirudi zile 8 ila tumefungwa na lolote laweza tokea....
Last edited by a moderator:
Morgan ndiyo anapaswa kuingia...kisha Bastian awa anasaidia mbele kule...
Toa Depay aingie Fellaini...Darmian aingie Valencia na Rooney aingie dogo Wilson...angalau timu yaweza ku-gamble kupata matokeo chanya...
Memphis ni matumizi mengine mabaya ya raslimali pesa!Huyu kaisha shindwa window ya January peleka Galatasary huko
hali mbaya duuh. depay anatuzingua sana
Kwa kweli amekuwa siyo poa sana so far...lakini at least he is better than Firminho 😉
Kwa kweli amekuwa siyo poa sana so far...lakini at least he is better than Firminho 😉
bado naendelea kuangaliajumetazama vzr mpira kweli???
Mpo kwenye denial stage,hamuamini kuwa Man U era is OVER na hata sisi Liverpool tulikuwa hatuamini kama nyie kwenye miaka ya 90's!Man U haji kuwa bingwa wa EPL labda miaka 10 toka sasa!
Healing process ina take time,mtazoea tu
Yaan mimi nimechukuliaa poa sanaaa aiseee