Shem nimekukubali kwa maombi. mungu wako ni mungu wa ajabu....
Hahahaaa sasa za nini na wakati kigodoro tunacheza wote hapa
Arsenal wamekua sasa kutoka uvulana hadi uanaume.. Poleni sana
Asante Mungu kwa siku hii ya leo ambayo tuliingoja kwa hamu kwa uwezo wako tumefika,Mungu wangu sina lingine ninalohitaji zaidi ya point 3 tu,wawezeshe wachezaji wetu watumie effectively nafasi wanazopata wacheze kwa bidii zote,vile vile mpe hekima LVG apange kikosi Chake vizuri,naamini na asante kwa kuwa umeniskia na tutaendelea kukaa pale juu mpaka mwisho, watu wote waseme Amen.
#GGGMU
Thx Mkuu Gwamahala
everlenk pole sn my dear....... Haya ni mapito tu
Wengine tumeshazoea na tulikua tunasubiri taarifa ya bodi ya timu kuhusu mustakabali wa kocha wetu kipenzi José Mourinho...
Ligi ni ngumu na vita vya msimu huu si mchezo....
Ila nafikiri kiasi Fulani Mashabiki wa Man Utd midomo itapungua maana mlishajifanya nyie ndio mabingwa.
Cc RRONDO
Sisi Brendan Rodgers tumeshampa mabegi yake tayari...hopefully atakuja Klopp or Ancelot.
Mkuu ila Mourinho ni kocha mzuri, mpeni muda tu.
mmekaa juu ya msimamo kwa wiki moja tu ummeongeeea mtafikiri ndio mmeshabeba ubingwa!' manina.
mmekaa juu ya msimamo kwa wiki moja tu ummeongeeea mtafikiri ndio mmeshabeba ubingwa!' manina.
Hahahaaaa wenger ni noma mkuu...
Ndani ya dkk 19 vitatu duuh...
Mimi ni man u ila mbinu ya wenger nimeikubal
Mentor et al. Kiukweli hiki kipigo hakijaniumiza....hadi nashangaa kwanini sijaumia...lakini sababu ni moja tu...nikilinganisha na msimu chini ya DM na msimu uliopita, naona mwanga mbele...timu ipo vizuri zaidi ya misimu miwili iliyopita...leo ilikuwa ajali kazini...
Angalau Gooners wasitishe kwa muda kampeni yao ya #WengerOut najua baada ya international break....Müller na Lewandoski lazima airudishe tena kampeni...
Cc: rubaman kashengo na hata Balantanda ambaye leo kafufuka
We hop u join Arsenal soon., ondoa izo pressure za man uu, £250x2 team yenu haina mvuto, mnanunua wachezaj bei kubwa ambao hamwez kuwatumia badala yk mnauza kw bei ya chini, Poor Van Gorl
Yaani nimekutafuta!! Usiku mwema.
Muller na Lewandoski kuhamia Man Utd ni ndoto za saa saba mchana baada ya kushiba ugali na nguru. Hahahaha eti kipigo hakijakuuma...wewe ni mtu wa kuigwa kwa namna ya kujipa moyo katika wakati mgumu. Tukutane Old Trafford sijui next year. Wasalimie kina DonDonald, Belo, RRONDO, Bulldog, mfarisayo et la ambao hawajaonekana hapa tangu dakika ya 30 ya mechi