King faisal
JF-Expert Member
- Jun 7, 2022
- 1,980
- 4,942
Nasikia Kuna tetesi za kipara kufukuzwa akishindwa kuchukua FA cup.

More on Vincent Kompany and FC Bayern story revealed earlier today.Hata wangemuita ningemshangaa sana Southgate.Bwana Rashford haamini kama katemwa Euro na madogo kibao wameitwa over yeye, hii iwe wake up call yake, akilegea kuja kurudi itamchukua muda sana. Kuna madogo pale England wanakiwasha sana
Wamtoe Saka hapo wamuache kijana apumzike kidogo. Kwanza tayari ana injury.Hata wangemuita ningemshangaa sana Southgate.
Una
SAKA
FODEN
STERLING
PALMER
na yule dogo wa Newcastle HuYU fala aende euro kufanya nini? Kimsingi kuna wachezaji wengi wazuri kuliko yeye kwenye ile namba labda wamuite kwa mazoea tu kama 10Hag alivyomzoesha tayari.
United ipo hapo ilipo sababu ya kima kama yeye.
Shati ni Allison, kapigwa za kutosha tu mpaka mmepoteana kwenye ubingwa.Uwezo wa kumfunga city mnao. Tatizo pale golini kwenu kuna shati. Akikaa kipa wa kueleweka hii game mnashinda. Tafuteni kipa wa kueleweka
Ndio maana tunamuuza uarabuni. Na nyie mumfukuze OnanaShati ni Allison, kapigwa za kutosha tu mpaka mmepoteana kwenye ubingwa.
Ngoja tuone kama mtauza, sisi hatufukuzi wala hatuuzi. Na mmeleta huyo Tenhag version 2, kazi mnayo kwa hiyo pambana na team yako mkuu.Ndio maana tunamuuza uarabuni. Na nyie mumfukuze Onana
INTER MILAN Walimharibiaga sana huyu Mzee, Cha ajabu Sababu kubwa anasemaga alitaka anzisha Mfumo wa Beki 3 wa Kati! Tangu hapo Timu zinamchukulia Poa ila Ni mtu Na Nusu. Walimfukuza Mwanzo wa msimu kabisaDunia haimpi heshima kubwa huyu mzee
Ifike hatua wewe na Onana mkae chini mmalize tofauti zenu😃Uwezo wa kumfunga city mnao. Tatizo pale golini kwenu kuna shati. Akikaa kipa wa kueleweka hii game mnashinda. Tafuteni kipa wa kueleweka
Mpuuzi yule alinikosesha 5M za wazi wazi 🤣🤣🤣🤣Ifike hatua wewe na Onana mkae chini mmalize tofauti zenu😃
Nilijua tuu sio kwa kumkandia huko wakati jamaa katusave sana mwishoniMpuuzi yule alinikosesha 5M za wazi wazi 🤣🤣🤣🤣
vp, anafaa kwenye viunga vya OT?..?INTER MILAN Walimharibiaga sana huyu Mzee, Cha ajabu Sababu kubwa anasemaga alitaka anzisha Mfumo wa Beki 3 wa Kati! Tangu hapo Timu zinamchukulia Poa ila Ni mtu Na Nusu. Walimfukuza Mwanzo wa msimu kabisa
Hii Dunia kwa sasa kuna ANCELOTTI halafu wanakuja walimu wengine. Kuna haja ya Timu hizi kubwa kuanza Bet hata kwa walimu kama GASPERINI.
Kubwa zaidi kwa Gasperini anajua sana endeleza Talanta za Vijana, Hawahesabiki!