Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Kichekesho kingine hiki hapa, hizi NYUMBU nazo zinaamini zitashiriki michuano ya Ulaya kwa kuifunga man City kwenye fainali ya FA. Kuna mambo huhitaji kufikiria sana
 
Endeleeni kubaki na tapeli 7hag tu, msimu ujao hatutaki lawama
Watu wanaojua mpira wameona kitu kwenye mpira anaofundisha V. Kompany
.

.

More on Vincent Kompany and FC Bayern story revealed earlier today.

Understand Kompany has already received direct call from Bayern board to be informed on his situation.

Kompany was open to discuss, still early stages but interest is confirmed — he’s in the list.
IMG-20240521-WA0022.jpg
 
Bwana Rashford haamini kama katemwa Euro na madogo kibao wameitwa over yeye, hii iwe wake up call yake, akilegea kuja kurudi itamchukua muda sana. Kuna madogo pale England wanakiwasha sana
 
Bwana Rashford haamini kama katemwa Euro na madogo kibao wameitwa over yeye, hii iwe wake up call yake, akilegea kuja kurudi itamchukua muda sana. Kuna madogo pale England wanakiwasha sana
Hata wangemuita ningemshangaa sana Southgate.
Una
SAKA
FODEN
STERLING
PALMER
na yule dogo wa Newcastle HuYU fala aende euro kufanya nini? Kimsingi kuna wachezaji wengi wazuri kuliko yeye kwenye ile namba labda wamuite kwa mazoea tu kama 10Hag alivyomzoesha tayari.
United ipo hapo ilipo sababu ya kima kama yeye.
 
Hata wangemuita ningemshangaa sana Southgate.
Una
SAKA
FODEN
STERLING
PALMER
na yule dogo wa Newcastle HuYU fala aende euro kufanya nini? Kimsingi kuna wachezaji wengi wazuri kuliko yeye kwenye ile namba labda wamuite kwa mazoea tu kama 10Hag alivyomzoesha tayari.
United ipo hapo ilipo sababu ya kima kama yeye.
Wamtoe Saka hapo wamuache kijana apumzike kidogo. Kwanza tayari ana injury.
 
Dunia haimpi heshima kubwa huyu mzee
INTER MILAN Walimharibiaga sana huyu Mzee, Cha ajabu Sababu kubwa anasemaga alitaka anzisha Mfumo wa Beki 3 wa Kati! Tangu hapo Timu zinamchukulia Poa ila Ni mtu Na Nusu. Walimfukuza Mwanzo wa msimu kabisa

Hii Dunia kwa sasa kuna ANCELOTTI halafu wanakuja walimu wengine. Kuna haja ya Timu hizi kubwa kuanza Bet hata kwa walimu kama GASPERINI.
Kubwa zaidi kwa Gasperini anajua sana endeleza Talanta za Vijana, Hawahesabiki!
 
INTER MILAN Walimharibiaga sana huyu Mzee, Cha ajabu Sababu kubwa anasemaga alitaka anzisha Mfumo wa Beki 3 wa Kati! Tangu hapo Timu zinamchukulia Poa ila Ni mtu Na Nusu. Walimfukuza Mwanzo wa msimu kabisa

Hii Dunia kwa sasa kuna ANCELOTTI halafu wanakuja walimu wengine. Kuna haja ya Timu hizi kubwa kuanza Bet hata kwa walimu kama GASPERINI.
Kubwa zaidi kwa Gasperini anajua sana endeleza Talanta za Vijana, Hawahesabiki!
vp, anafaa kwenye viunga vya OT?..?
 
Back
Top Bottom