Scamaca? Unatania au upo serious? Timu inayohitaji kupambana na kina man city alafu target man anakua scamaca?

Alishindwa Westham
Countrywide UTD Tayari ina CF Mtoto HOJLUND Miaka 21. Pia ina kawaida Kuamini ACADEMY na Karibuni walau ACADEMY Ina majina ambayo yana Uwezekano kuingia Kikosi Cha Kwanza. ETHAN WHEATLEY Kama hatoki kwa Mkopo anahitaji watu wa Kujifunzia. Lazima Upate CF/SS Amesogea Umri na Profile tofauti na HOJLUND

SCAMACCA Kashindwa W/HAM Ila Majeraha ni sababu mojawapo. HALLER, TADIC, BLIND Kwa ETH alifufua Mpira wao wote. Kushindana na City si Lazima uwe na Kina Haaland. Unatengeneza timu Nzuri kulingana na Uhitaji wako.
 
SCAMACCA Mwangalie Upya! Anaweza Cheza kama Target Man.
SCAMACCA ni Hatari sana kwa Timu ya "Transition" anajua Cheza kwa kulipa Goli Mgongo na Ni hatari sana kwenye "KEY PASSES" Nadhani ana ASSISTS nyingi sana msimu huu na Nafasi kulinganisha na CF wengi.

kwa Uhitaji wa UTD, SCAMACCA Ni Chaguo Bora zaidi. Mwingine naweza Ona anafaa ni ZIRKZEE.
Yaani mnatujaza kabisa tena tuchukue Scamacca dah 😄
 
Yaani mnatujaza kabisa tena tuchukue Scamacca dah
Watu hawamuoni Artem Dorbyk Ila wanamuona Scamaca.

Scamaca na Lautaro Martinez nenda kwa Lautaro atakupa magoli 15 ya ligi kwa Msimu ila atakupa impact kubwa sana uwanjani.

Mpaka leo mashabiki wa United hawajapta jibu kwanini Rashford aliperform vizuri January 2023 hadi mwisho wa msimu wanashindwa kusema kuwa Weghorst alimfungua Rashford kwa sababu Weghorst hakuwa kipenzi chao.
 
Kikosi Cha Bwenyenye Sir Jim kimeshuka kimetoa ahadi lazima kombe liende OT.

Manchester United inacheza Leo na dunia nzima ina furaha 😁😁😁

My prediction
Manchester City 1 VS Manchester United 3

watapigwa Sana wale 😁😁
20240525_150658.jpg
 
Back
Top Bottom