El Tiger
Senior Member
- Aug 15, 2018
- 114
- 600
Scamaca? Unatania au upo serious? Timu inayohitaji kupambana na kina man city alafu target man anakua scamaca?
Countrywide UTD Tayari ina CF Mtoto HOJLUND Miaka 21. Pia ina kawaida Kuamini ACADEMY na Karibuni walau ACADEMY Ina majina ambayo yana Uwezekano kuingia Kikosi Cha Kwanza. ETHAN WHEATLEY Kama hatoki kwa Mkopo anahitaji watu wa Kujifunzia. Lazima Upate CF/SS Amesogea Umri na Profile tofauti na HOJLUNDAlishindwa Westham
SCAMACCA Kashindwa W/HAM Ila Majeraha ni sababu mojawapo. HALLER, TADIC, BLIND Kwa ETH alifufua Mpira wao wote. Kushindana na City si Lazima uwe na Kina Haaland. Unatengeneza timu Nzuri kulingana na Uhitaji wako.