Tukishinda hili kombe tunachukua nafasi ya Arsenal kushinda Sahani yake kwa hiyo msimu ujao atatoka kapa😂😂😂😂Kama mzaha vile ila ndio tunabeba ndoo dhidi ya kipara.
Sijui AsENO watajisikiaje mechi ikiisha hivi?
KaumiaKocha wenu katoa kisiki MARTINEZ kaingiza EVANCE. Huyu kocha aondoke tu.
Xavi anakujaTen aongezewe mkataba, au mnasemaje ndugu zanguni
Ni kama kaumia vileKocha wenu katoa kisiki MARTINEZ kaingiza EVANCE. Huyu kocha aondoke tu.
Kashinda Vipi?Tukishinda hili kombe tunachukua nafasi ya Arsenal kushinda Sahani yake kwa hiyo msimu ujao atatoka kapa😂😂😂😂
Arsenal kombe lake huwa ni community shieldKashinda Vipi?
wewe jamaa kwa lawama tu ujambo ujaona Martinez injury hapoKocha wenu katoa kisiki MARTINEZ kaingiza EVANCE. Huyu kocha aondoke tu.
Hapana bhana, msifanye hvyXavi anakuja
Majeruhi yalituangusha.Halafu kuna mtu anamfananisha 10Hag na Arteta!