Nani huyo?TayariiiiiiView attachment 2999228
Bado hujasemaivi ni mimi au , kwasababu sijawai uelewa wembley stadium umekaa kimkakati zaidi
Tv96mwenye link tushuhudie wote humu?
Sportybet.com mechi inaonyeshwa Live Kaka.mwenye link tushuhudie wote humu?
Mnajiteteaje. Kwa kufanya master bastion mech bado dkk 45Guardiola alifanya kosa kubwa sana kuwaruhusu wachezaji wake wakalewe na kugonga mademu.
Hii inanikumbusha wayback school days mara nyingi nilikuwa nikishafanya mitihani nakuwa najiona nimeshamaliza Kila kitu ukija kuambiwa Kuna class unaona muchosho tu .
Thubutu..Kipara ajitahidi kushikilia bomba sasa
Si mnajua lazima mshinde ili muende ulaya? Pambaneni sana manyumbu nyie.


Ndugu zetu wa Arsenyo endeleeni kutuombea, maana bila ya dua zenu hatuwezi fika popote. Hao dada zenu Man115ster City bila kubebwa na kuhonga marefa hawana lolote. Bahati mbaya kwao ni kuwa nyie mnapendwa zaidi yao na marefa, mnabebwa zaidi yao na marefa na mnahonga zaidi yao.Ndugu zetu wa Arsenyo endeleeni kutuombea, maana bila ya dua zenu hatuwezi fika popote.
Wakati mkiendelea kutuombea msisahau pia kuyakemea mapepo machafu maana hizi dakika 45 za kipindi cha pili ibilisi hua hachezi mbali. View attachment 2999239
Sisi tupo na nyie kwa sasaKama mzaha vile ila ndio tunabeba ndoo dhidi ya kipara.
Sijui AsENO watajisikiaje mechi ikiisha hivi?