NewDawnTz
JF-Expert Member
- Nov 15, 2010
- 1,667
- 362
Kwanza mambo ya kagoda yalitokea alipokua basili maramba, aliyewaita wakaguzi ni Zakhia meghji... sasa ni mawaziri wangapi wanaoweza kusema Governor wa benki amedanganya ????
Wengi mmejaribu kumuhusisha na EPA bila mafanikio. Kwa sababu ukweli ni kuwa EPA ilitokea wakati wa Basil Mramba, Pesa za Kagoda baadhi zilitumika na kina RA kwa ajili ya kampeni ya JK. Huyu mama ni true nationalist !!
Kilichomfanya akawafunika kwenye audit report ya deloit (kama sio ya Ernst & Young) kilikuwa ni kitu gani? Huu nao tuuite uadilifu?