Mambo mazito CCM Dodoma: Wajivua gamba?

Mambo mazito CCM Dodoma: Wajivua gamba?

Kimsingi sasa ccm kifo hakikwepeki! Walichokifanya nikuongeza chuki ndani ya chuki! Kukomoana sasa kupo hadharani na tusubiri mauaji ndani ya hili dude liitwalo ccm, Watanzania wangepata moyo kama wangesikia kuwa RA,el,chenga,kanywamaji,ngariba,manyus,watiziro,pembelang'ombe,celi kombati,KIKWETE au BABA rz1 na matandao wote wa kifisadi UKITIMULIWA na chama kufutwa jina na kubadilisha rangi ya bendera yao
 
Mie nawasifu sana maana viziwi wamechukua nafasi ya viwete...all we need is our new constitution

una maana gani?
please, hyo kauli ni mbovu na ninaomba uwaombe msamaha hawa wanadamu wenzio
vinginevyo nitaomba upewe ban kwa kuwakashifu walemavu
 
at list wamejaribu....... tusubiri tuone wapeni nafasi

Nasikitika kusema kuwa kama KUJIVUA GAMBA kwa CCM ndio huku basi hakuna kitu.
Expect changes not in this Chama Cha Mafisadi-CCM. Nilishasema kuwa nyoka akijivua gamba ANABAKIA NI NYOKA YULEYULE mwenye sumu KALI.

This is what CCM are trying to do in order to cheat poor Tanzanian people.Usitegemee chochote kwa mabadiliko haya. Sana sana wanafanya hivi kwa kiwewe walicho nacho kutokana na NGUVU YA CHADEMA.
 
Vipi CV yake huyu jamaa (Wilson Mukama)?
... A DEADWOOD! kuti kavu unaweza kulitumia kujengea nyumba..? hata kama ni la mpingo, majibu unayafahamu.ameteuliwa kukisindikiza chama chake kaburini! subiri uone! usidanganywe na cv!
 
Kama haya ni ya kweli, basi CCM haina shukrani. Makamba kawapigania siku zote! Alikubali kupakwa matope ya chama akabaki nayo ili chama kinusurike! Eti kaondoka kirahisi hivyo? Makamba usijali Mungu atakulipia!

tehe tehe tehe!umenifurahisha mkuu!kweli we kiboko!vipi habari za siku nyingi?
 
nakubaliana kiasi flani na ndugu fairplayer. Lowasa pamoja na ujambazi, unyang'au ni mtu anaediriki.ana uthubutu wa kimaamuzi,kama alikosea ktk mambo kadhaa ni ubinadamu tu. hakuna mtu aliekamili. jamaa mwizi lkn mtu wa kazi sana na anawezesha vtu kwenda. watumishi wengi tu wa serikali walikuwa wanamwogopa enzi zake sio leo wakati wa pinda ambae akikuta uozo anaanza kulia badala ya kuchukua hatua firm. to me lowasa hata akiwa presidaaa 2015 sawa tu!!

mmbangifing inawezekana mtu akawa anajenga nyumba huku akiiboma ataimaliza kweli, hizi sifa uchapakazi na ufanyaji mambo yatokee ninazozisikia zimesaidia vipi kubadili maisha ya mtz. maana kila mara utasikia oohhh ni kiongozi mzuri sana.... haya mengine ni ya kibinaadamu tu... Nakumbuka hata pinda baada ya kuteuliwa kuwa PM baada ya Lowassa ku step down alisema yeye (Pinda) ni mchapa kazi kama lowassa, alisema rais amechagua mchapa kazi kama alivyokuwa El. wasiwasi wangu ni huu uchapa kazi unaoonekana na wachache tu.
 
kabla ya kumaliza mda wake uliobaki nina uhakia badala ya kulivua gamba ataamua kulikata katikati.....mark this posta
 
Huyu ni kama wa uzao wa Lowasa (blood linked).
Ni kwa namna anavyozungumza, angalia uchaguzi wa maneno na msisitizo wa maneno.
Not a joke!!

Haya EL alikua fisadi kajiuzulu!! Nchi ipo wapi? Aliemrithi naye analalamika kila kukicha hana solutions. JK anasema hajui kwanini sie ni masikini (fukara) sasa yupi bora?
Tatizo mmezoea ambao hawataki kuondoka madarakani!! To me Eddo is far better than anyone in CCM!!
Hamtaki ukweli ila sitochoka kuwaambia!
 
Big up JK kwa kumtoa Makamba! sina hakika kama gamba limevuliwa sawasawa wakati Zakhia Meghji kaachwa....puu!
 
Naona niwakosoe baadhi yenu, jamaa anaitwa MUKAMA na sio MKAMA. Shomile kutoka kagera lazima kuwe na MU yani OMUKAMA wange. Na watu kutoka mara ni MKAMA. Naomba msichanganye hayo majina mawili tofauti.


mukama siku zote ni wa musoma wajita au mkerewe wa ukerewe......hakuna mhaya anaitwa mukama
 
alifanya madudu pale wizara ya afya alipoondoka walifurahi waulizeni watu wa wizarani ikabidi aletwe mama Nyoni kuweka mambo sawa hadi sasa mama Nyoni anahangaika na madudu yake ,Je CCM ataiweza ? pia ni mshikaji sana wa JK kama kawaida yake ushikaji mbele
 
avatar17368_29.gif
There are currently 458 users browsing this thread. (185 members and 273 guests)
 
Baada ya kikao, RA alisema "They won the battle but the fight is still on"

Naitafsiri kauli hii Kama RA haoni wa kumtisha, anajua anachotarajia au anachotaka kufanya karibuni.


hii ndio kauli...hata kikwete hawezi kumgusa amefurukuta tu humo ndani
 
She was! Alijibu ile query ya maodita wa nje wa awali Doillete (kama sijakosea jina) kwamba mchoto ule wa kagoda ulikuwa ni kwa ajili ya shughuli nyeti za kiserikali, kitu ambacho siyo kweli. baadaye alibadilisha na kughushi barua (yeye na Katibu Mkuu wake Gray mgonja) kwamba Mgonja alimpa habari siyo sahihi. Ilibidi JK amteme mama huyo!

Una nyimbo nyingine?

Kwanza mambo ya kagoda yalitokea alipokua basili maramba, aliyewaita wakaguzi ni Zakhia meghji... sasa ni mawaziri wangapi wanaoweza kusema Governor wa benki amedanganya ????

Wengi mmejaribu kumuhusisha na EPA bila mafanikio. Kwa sababu ukweli ni kuwa EPA ilitokea wakati wa Basil Mramba, Pesa za Kagoda baadhi zilitumika na kina RA kwa ajili ya kampeni ya JK. Huyu mama ni true nationalist !!
 
Haya EL alikua fisadi kajiuzulu!! Nchi ipo wapi? Aliemrithi naye analalamika kila kukicha hana solutions. JK anasema hajui kwanini sie ni masikini (fukara) sasa yupi bora?
Tatizo mmezoea ambao hawataki kuondoka madarakani!! To me Eddo is far better than anyone in CCM!!
Hamtaki ukweli ila sitochoka kuwaambia!

Nakubaliana na wewe kiuwezo.... Lakini kuongoza nchi yetu - hatufai!
 
Back
Top Bottom