Mambo mazito CCM Dodoma: Wajivua gamba?

Mambo mazito CCM Dodoma: Wajivua gamba?

Tusiwahukumu kabla hawajatenda...............

Tuwape kwanza nafasi wafanye kazi
 
Hizi siasa za ccm kaazi kweli. Nyoka hata ajivue gamba anabaki kuwa nyoka tu. Kama wana nia ya dhati, serikali ya ccm iwachukulie hatua za kisheria hao wote wanaotuhumiwa. Vinginevyo ni sawa na kibaka anayefukuzwa na raia halafu ajaribu kujificha katikati ya uwanja wa mpira!! HATUDANGANYIKI.
 
......Mtu wa madili pia

goes without saying, i mean akishaonekana na mkuu wa kaya kwamba anafaa of koz lazima atakua mtu wa dili, you don't need to know the guy, wasafi wapo wanajulikana ushasikia hata siku moja wanapewa nafasi muhimu?
 
I am also lost....did he mean, they had to beg her for her to accept the new post or ?

I am genuinely happy for Napelape...kweli jirani yangu huyu wa seaview has gone through a lot...truth has costed him more than anyone can imagine...I am so glad that it was you and not 'waganga njaa' who were chosen amongst the youth! Big up sana!!!

Mhandisi

nape mwanzilishi wa CCJ leo kapewa cheo CCM, du hawa kweli walimtumia mwenzao
 
mpaka sasa hivi habari nilizonazo ni kwamba hakuna uchaguzi wowote uliofanyika kwa hiyo hayo ya wakina mkama bado rumours tu
 
kwa kashfa hii ya JF nashauri ifungwe maana imeshaingiliwa na watu wanaoishushia credibility ya kuwa mahali pa kupatia information za kweii na ma breaking news. Siiamni tena kuanzia sasa
 
To all Great Thinkers...

Huu ndio mwanzo wa EL kuelekea 'White House' 2015.

Mukama ni m2 wa system for long time now...na amewekwa pale kimakusudi na JK kumwandalia EL njia ya kuelekea kilingeni.

JK anajitahdi kumpoza sana 'best yake' ili kutimiza ndoto zao za kui-rule TZ consecutively.

Mukama amewekwa pale purposely ku-connect upya system na CCM ilivyorugwa na Lt. Mgosi.

Ndani ya system yote, EL ndiye anayekubalika kuliko hata J.K... (UKWELI NDIO HUU)

Akiwa na Muunganishaji - W.M wanaamini itakuwa kwao mteremko kuachiave malengo yao ya kumwezesha EL 2015

...Ilani.

Planning does not always come true
 
Kinana kawa deputy Tz bara, Nape kapelekwa itikadi na Zakhia Meghji kaenda fedha wakati Rehema Nchimbi akienda Organisation
CCM katika kuchagua kote kwenye kapu la mayai viza wamepata haya ndiyo yaliyo na nafuu wanasema yameoza kidogo tu.
 
kwa kashfa hii ya JF nashauri ifungwe maana imeshaingiliwa na watu wanaoishushia credibility ya kuwa mahali pa kupatia information za kweii na ma breaking news. Siiamni tena kuanzia sasa

kwa hiyo kumini kama mkama amekuwa katibu mkuu au shida yako nini
 
Ninavyomfahamu kwa uchache Mukama ni Political Scientist. Amewahi kuwa tutor chuo cha Kivukoni, Mkurugenzi wa Jiji la DSM, Naibu Katibu Mkuu Tamisemi, Katibu Mkuu Afya, Katibu Mkuu-Maji na baada ya kustaafu aliteuliwa na Rais kuwa Mwenyekiti wa Bodi wa TSN. Pia ni Strategist wa CCM.
 
Aliwahi kuwa Mkurugenzi wa Jiji la DSM......Mtu wa madili pia

Mapema sana kuzungumzia maadili ya mteule yeyote aliyewahi kuwa mtendaji ndani ya CCM, Hapa tuzungumzie qualifications na uwezo wa kusoma alama za nyakati ikiwamo kuhakikisha kuwa anamshawishi mwenyekiti wake kuacha kuwalinda wale wote walioliibia Taifa hili kwa kuwafikisha mbele ya vyombo vya sheria bila kujali majina ni kina nani. Otherwise itakuwa ni yaleyale ya kumchukua kunguru mweupe na kumfungia kwenye boksi lenye uchafu ukitarajia kwa kufanya hivyo box nalo litakuwa jeupe.
 
CCM katika kuchagua kote kwenye kapu la mayai viza wamepata haya ndiyo yaliyo na nafuu wanasema yameoza kidogo tu.


we acha tu.......tena kama huyu mama naona jk ameapa kuwa nae bega kwa bega.......hili gamba yaani ni noma.......yanatoa harufu sana haya mayai..hrufu ya wizi wizi tu

 
hata wabadilishe vipi ccm ni tambara bovu halishoneki tena lishaoza ni la kutupa jalalani. tunataka chama kipya na si huu uozo uliopo.
 
kwa kashfa hii ya JF nashauri ifungwe maana imeshaingiliwa na watu wanaoishushia credibility ya kuwa mahali pa kupatia information za kweii na ma breaking news. Siiamni tena kuanzia sasa

Ni utashi wako tu. Kuvunjika kioo sio kuvunjika nyumba. Nenda tu ndugu ingawa tutakukosa na pia tutakosa mchango wako!
 
To all Great Thinkers...

Huu ndio mwanzo wa EL kuelekea 'White House' 2015.

Mukama ni m2 wa system for long time now...na amewekwa pale kimakusudi na JK kumwandalia EL njia ya kuelekea kilingeni.

JK anajitahdi kumpoza sana 'best yake' ili kutimiza ndoto zao za kui-rule TZ consecutively.

Mukama amewekwa pale purposely ku-connect upya system na CCM ilivyorugwa na Lt. Mgosi.

Ndani ya system yote, EL ndiye anayekubalika kuliko hata J.K... (UKWELI NDIO HUU)

Akiwa na Muunganishaji - W.M wanaamini itakuwa kwao mteremko kuachiave malengo yao ya kumwezesha EL 2015

...Ilani.

Planning does not always come true
Kwa hiyo ndiyo propaganda zimeanza rasmi kumpaka mafuta Lowassa kwa mgongo wa chupa.
 
To all Great Thinkers...

Huu ndio mwanzo wa EL kuelekea 'White House' 2015.

Mukama ni m2 wa system for long time now...na amewekwa pale kimakusudi na JK kumwandalia EL njia ya kuelekea kilingeni.

JK anajitahdi kumpoza sana 'best yake' ili kutimiza ndoto zao za kui-rule TZ consecutively.

Mukama amewekwa pale purposely ku-connect upya system na CCM ilivyorugwa na Lt. Mgosi.

Ndani ya system yote, EL ndiye anayekubalika kuliko hata J.K... (UKWELI NDIO HUU)

Akiwa na Muunganishaji - W.M wanaamini itakuwa kwao mteremko kuachiave malengo yao ya kumwezesha EL 2015

...Ilani.

Planning does not always come true

If it's the people's vote that puts anybody in to the presidency, then EL has a suprise in store for him.
Watu wanaona mbaaaali mno kinyume na matarajio ya hao wapanga mikakati ya kifilisi.
 
Back
Top Bottom