muhosni
JF-Expert Member
- Feb 12, 2011
- 1,108
- 154
Wangeondoshwa hata kwenye kamati za Bunge!
Naam, ndo maana mi naona kwamba however fascinating these changes are, they are only cosmetic surgery. Yaani, funika kombe bwanaharamu apite!
Wangeondoshwa hata kwenye kamati za Bunge!
Haingii akilini kuwa kama wamevuliwa uongozi mwingine wa CCM kutoka nafasi nyingine kutokana na uzito wa tuhuma dhidi yao kwanini wanabakia kuwa Wabunge? Kwanini sababu zilizowafanya wavuliwe uongozi mwingine zisiwe sababu za kuwavua Ubunge kwa kuwavua uanachama?
Uanachama ni tofauti na ubunge,kwa mfano chama kinabase sana kwenye loyalty,mbunge anaweza asiwe loyal kwa chama chake au jimbo lake na still akawa na wadhifa wake.Haingii akilini kuwa kama wamevuliwa uongozi mwingine wa CCM kutoka nafasi nyingine kutokana na uzito wa tuhuma dhidi yao kwanini wanabakia kuwa Wabunge? Kwanini sababu zilizowafanya wavuliwe uongozi mwingine zisiwe sababu za kuwavua Ubunge kwa kuwavua uanachama?
Ubunge lakini hawakupewa na CCM, ni wannchi waliwapa. Siasa sio kama mathematics kuwa logically if x>0 then it means X is positive number!
Kumbuka kuwa NYOKA AKIJIVUA GAMBA huendelea kuwa NYOKA kamwe hawez kuwa mamba au kemge. So hebu mtafakar baada ya hilo tukio CCM Watawez kuwa 2main jipya la watanzania? Ni hayo tu.
Nadhani kuna jambo ambalo ccm inaweza kufanya kujiokoa- kujisafisha, kukubali kubadilika, kwenda na wakati.
Watanzania wengi zaidi bado wanaishi kwenye object poverty na ndio wanaoishi with less than a dollar a day.
Mahitaji ya watu hawa ni mlo mmoja tuu wa leo regarless kesho watakula nini.
CCM imekuwa ikiutumia udhaifu huu kujipatia ushiondi wa chee, hivyo ikijisafisha, ikabadilika na kwenda na wakati kwa kujua enzi za kura ya mlo mmoja zimepita, enzi za kura za T-shart na kofia pia zimepita, sasa ni enzi za siasa za ukweli, kama CCM nayo itafanya siasa za kweli, wenye njaa watawaelewa na njaa zao na watawaaminia kwa matumaini ya kushibishwa!.
Hawana ubavu wa kumtosa R.A. Kwa sababu ndio mfadhili wao, their days are numbered.
Nimefurahi sana tena sana, kama mh. mwenyekiti kaliona hilo, basi huo ndiyo mwisho wa matapeli ndani ya ccm.
Usijali mkuu kuna wakati siyasa inakuwa masematikisi kweli, utaona ekisi itakuwa gireta than ziro sasa hivi
Invisible na Mugumu, mjue mimi na watu wote hawa hatulali kusubiria taarifa zaidi za Dodoma.
Wenzangu tunaosubiria hapa ni hawa There are currently 608 users browsing this thread. (145 members and 463 guests)
Pasco fangfangjt bulunga mku sixgates kituro Mallaba wahanya muhosni Nazjaz Anfaal Dotori Sonara Froida matunge Jekyll+Hyde Kinyamana Bajabiri Ame EXECUTIVE Ndumbayeye kobello Mrdash1 koreshi Miya Mimibaba Keil kayumba Limbani Revolutionalist Liganga Quinine Mtembea_peku abracadabra Mwanatarime Ochu Godfrey R YE samirnasri Pena Kibanga Ampiga MKoloni Gbollin Mzee Mwanakijiji+ pendosaidi Bihigi niweze drgeorge Avatar Mike McKee EMT SLIDINGROOF Ng'wanza Madaso Gokona mchukiaufisadi Bornvilla macho_mdiliko Sigma shabaniMusa sem2708 Jibaba Bonge The Invincible MkuuMtarajiwa Leonard Akaro andrewk Kiby daughter Deodat Mbimbinho mgalisha Gurta UmkhontoweSizwe Plato Advocate Jasha Maishamapya mshikachuma Mwanajukwaa Mbaneingoma Zom Pumba Mwiko chiefmasanja Babuyao Taso Mbalinga Libaba MkamaP Malunde-Malundi mtemiwao Mtumiabusara masssaiboi Eqlypz Isekuu SaidAlly Siao Kaka deo Peasant Kaunga mwabaluhi MAWINO Jungumawe Lyangalo Kakalende Mpanzi Buswelu kapotolo Msenshe Oluoch Paddy mnwele PakavuNateleza mwanaharakat j rated Architect E.M abura90 Nyamgluu Mlengo wa Kati Wikiliki Mmongolilomo Fres kalechee Goldman Mgoyangi Yericko Kiwete LordJustice1 GJ Mwanakatwe Joss Dr wa ukweli Annony Ngereja whizkid Mujuni2 junior2008 teya Mwalimu Kenge (Eng) Geru Dr.Mbura emmathy Sn2139 guyton Tusker Bariiiidi Sabasaba Nemesis MtazamoWangu
Bado ina hold hiyo logic. Wakiwanyang'anya kadi basi wamewavua na ubunge wenyewe ila hao jamaa wakigombea na yoyote katika majimbo yao watashinda tu. Dawa unachukua kadi kisha unawatanguliza mahakamani wa makosa yasiyo na dhamana kama uhaini au uhujumu uchumi. Ingawa kimsingi itakuwa ni ujenzi wa UdiktetaUbunge lakini hawakupewa na CCM, ni wannchi waliwapa. Siasa sio kama mathematics kuwa logically if x>0 then it means X is positive number!