Mdodos
JF-Expert Member
- Jul 30, 2015
- 379
- 277
Ha ha ha ha ha Nawe ulishakutana Nao? Yaan Mim simu Zilkua haziishi kila nikiwauliza what is the agenda mnatka kukutana Nami hawawi wazi one day ikatokea nkaenda kuosha gar Kumbe Ofsin kwao ni Karibu hapo wakanipgia sim nikawaambia Nipo Sehem fulan wakasisitiza sana uko Karibu please njoo Ofsin tu nkaenda Du I was very bored maana swaga nyingiiiiii na mabidhaa yao et ynatibu kila kitu aisee nilichukia mpka wakagundua they let leave.Mimi walinifata nikaenda kuwasikiliza kisha nikawambia nikopesheni kiingilio wakakaa kimya,tatizo waafrika hatutaki kufanya kazi tunapenda mteremko,hao ni matapeli,kuna wengine wanaitwa alliance
Wao capital ni 580,000 cash half waanzilish walkuaga forever. N wizi mtupu