Kuna kitu kinaitwa "right to privacy" na "right to disclosure", akipata mwanasgeria mzuri, anaifungulia CRDB kesi ya madai ya kuchafuliwa jina!, na kuidai bilioni 100!. CRDB ili isizidi kula hasara, wata opt for out or court settlement, na atashuka hadi set off ya 1 bilioni!. Sheria mnamlinda mkopaji/mdaiwa kutotajwa kwa majina yake binafsi!.
Pasco
Kwani CRDB wanamtangaza mtu au wanatangaza mnada? Na Komba alitumia jina gani wakati anakopa?