Jagarld
JF-Expert Member
- Apr 7, 2011
- 2,689
- 3,446
Mnada lini nikadake mashati yake?
Manake unaweza ukayageuza yakatoa shuka kadhaa..
Mengi yatakuwa yashapelekwa msituni tayari si unajua maandalizi kaanza kitambo!
Mnada lini nikadake mashati yake?
Manake unaweza ukayageuza yakatoa shuka kadhaa..
Ndo maana anamuunga mkono lowasa; ili amkopeshe ............................. Janja sana
Mwenzeeeetuuuuu
Nduguyetttttuuuu
Mzeeewa misituniiiiiik
Komba alifanya fitna ili band ya vijana jazz ife ili apate tenda zote za ccm...
Hahahahaaaa...kuna watu wabunifu aiseeeeKomba alikomba; inaelekea wakopeshajii wanataka kumkomba sasa.....
Hawa watamchangia japo kidogo....ni leo kwenye vyombo vya habari tumeskia kwamba mali za mmbunge Kapteni John Komba zitapigwa mnada kwa kudaiwa na benk ya crdb zaidi ya billion moja fedha ambazo ameshindwa kurudisha. Swali langu ni je kwa nini mtu ukope zaidi ya uwezo wako wa kurejesha? Jamani hili liwe fundisho kwetu sisi. Ni kweli saa nyingine tunakuwa na tamaa ya kukopa na kuanzisha biashara ili kufanikiwa haraka. Ila kaa ukijua kuwa biashara hata siku moja haitabiriki
wanawake wote duniani wangekuwa na moyo wa uvumilivu kama alionao mke wa huyu muheshimiwa dunia ingekuwa mahali pazuri mno....mkopo na totoz wapi na wapi?
![]()