Mali za Kapteni Komba kupigwa mnada na CRDB

Mali za Kapteni Komba kupigwa mnada na CRDB

unanunua magari ya fahari ya 200 mln, 200 hela hiyo una wanunulia totoz magari, 100mln unawapangishia mademu nyumba na furnitures mambo ya flat screen etc, hela nyingine matanuzi kwa sana ....ahhh mara unastuka unajikuta una mln 50 ndyo unataka fanya biashara ah hizo ndyo akili za wanaokopaga wabongo

Msichofahamu kuhusu biashara ya shule za Sekondari, mara baada ya kuanzishwa kwa shule za kata, upatikanaji wa wanafunzi wa kujiunga na shule za binafsi zile ambazo hazifanyi vizuri umekuwa mgumu sana. Mzazi anaona kuliko ampeleke mtoto kwenye shule ambayo matokeo yake ni kama ya shule za kata ni bora mtoto aende shule ya kata. Shule nyingi za sekondari hivi sasa zina matatizo makubwa sana ya ulipaji mshahara kutokana na kukosa wanafunzi.

Swala la Mh. Komba ni biashara tuu imekataa. Mimi kwa ushauri wangu kama alijenga shule za sekondari akazibadilishe ziwe za msingi angalau hizo zinalipa tofauti na shule za sekondari
 
wpid-img-20140609-wa0004.jpg
 
Pasco hebu tuweke sawa, zile list ndeeefu zinazotoka magazetini zikitangaziwa minada ya mali za wadaiwa wa mabenki, ndio ukosefu wa hii privacy unayoisema hapa? Nafikiri mpaka wafike hatua hii watakuwa wameshawasiliana na wadaiwa wao sugu kwa kipindi cha kutosha tu...

Mkuu wakati mwingine hapa JF member anaweza tu kukomenti kitu kwa kutoa kitu kichwani kwake na sio kiuhalisia.. Kwa mujibu wa habari zilizoandikwa ni kwamba Komba amesha-default na hivyo process iliyopo ni kuuzwa kwa mali zake na kufidia mkopo huo pamoja na riba.. Na kama ulivyosema hapo juu tunaona mara nyingi list ya wadaiwa wa mabenki tofauti kwenye magazeti pamoja na picha zao.. Sasa akija member hapa halafu akazungumza mambo ya privacy utasema kayatoa wapi kama sio kichwani mwake..!
 
Msichofahamu kuhusu biashara ya shule za Sekondari, mara baada ya kuanzishwa kwa shule za kata, upatikanaji wa wanafunzi wa kujiunga na shule za binafsi zile ambazo hazifanyi vizuri umekuwa mgumu sana. Mzazi anaona kuliko ampeleke mtoto kwenye shule ambayo matokeo yake ni kama ya shule za kata ni bora mtoto aende shule ya kata. Shule nyingi za sekondari hivi sasa zina matatizo makubwa sana ya ulipaji mshahara kutokana na kukosa wanafunzi.

Swala la Mh. Komba ni biashara tuu imekataa. Mimi kwa ushauri wangu kama alijenga shule za sekondari akazibadilishe ziwe za msingi angalau hizo zinalipa tofauti na shule za sekondari

Komba alifungua zipu sana!akawa hana muda wa kusimamia shule.
 
Back
Top Bottom