Mali za Kapteni Komba kupigwa mnada na CRDB

Mali za Kapteni Komba kupigwa mnada na CRDB

♬nambari wani eeeeeee,nambari wani ni ccm♪×2.lol.
 
Crdb mtakuwa mmemsaidia sana komba...mtakuwa marafiki zake,maana atapungua uzito kwa kasi sana !!
 
Front page lead story Rais Mwema...bila shaka atakuwa tayari msituni akijiandaa kuja kupambana na 'wadeni' wake.

Watamtambua kwa kumdai mwanajeshi yule ohoooo.

Akishindwa hivyo bila shaka atawatungia nyimbo...wataimbiwa kwaya na kusahau kudai deni.

Afisa habari wa chama kikuu cha upinzani akitema cheche zake.
 
Benki ya crdb iko njiani kufilisi mali za mheshimiwa kapteni john komba ,kutokana na kushindwa kulipa deni . Ikiwepo shule zake kupigwa mnana;
jumla ya deni lote ni shilingi bilioni moja

Si alikua anatafuta dawa ya kupunguza kitambi,ndio hiyo sasa huku skendo ya picha za utupu huku mnada,tumbo lazma liishe tu.
 
Nyie endeleen tu kumchambua ukitekwa na kutolewa kucha hatuna kusiitikia wala kutoa rambirambi
 
Msisumbuke saana na kumnadi jamani. JK hawezi kumtupa mja wake. Je Kinana akiamua kumkomboa hako ka bilioni ni kitu kwake? Nyie pigeni kelele, Komba hana wasi anajua marafiki zake wapo kumlinda.
Kwa kamemo tu hazina itazitapika kodi zenu akombolewe mwana mtandao mmoja tu
 
Benki ya crdb iko njiani kufilisi mali za mheshimiwa kapteni john komba ,kutokana na kushindwa kulipa deni . Ikiwepo shule zake kupigwa mnana;
jumla ya deni lote ni shilingi bilioni moja

Watu makini tulishafahamu kuwa Captain Komba HAKOPESHEKI TENA. From Lulu to machangudoa wa Kinondoni (ref yule aliyepiga naye picha akiwa kanga).
 
kumbe ndio maana huwa wanapiga makofi wakisikia serikali kupitia waziri wa fedha eti serikali inakopesheka...
 
Duh ! Sijui CRDB wamechelewa ama maofisa walipeana mchongo, mbona ile shule ya Mbweni aliishaiuza, kama aliiweka rehani aliyeliwa ni BENKI ama JAMAA aliyenunua? Duh! haya mambo we acha tu mkuu
 
Afilisiwe tu. KWANI hata jimboni kwake hakuna alichofanya.
 
Back
Top Bottom