Mlalamikaji daily
JF-Expert Member
- May 19, 2014
- 1,018
- 2,365
Front page lead
story Rais Mwema...bila shaka atakuwa tayari msituni akijiandaa kuja
kupambana na 'wadeni' wake.
Watamtambua kwa kumdai mwanajeshi yule ohoooo.
Akishindwa hivyo bila shaka atawatungia nyimbo...wataimbiwa kwaya na
kusahau kudai deni.
Kuna kitu kinaitwa "right to privacy" na "right to disclosure", akipata mwanasgeria mzuri, anaifungulia CRDB kesi ya madai ya kuchafuliwa jina!, na kuidai bilioni 100!. CRDB ili isizidi kula hasara, wata opt for out or court settlement, na atashuka hadi set off ya 1 bilioni!. Sheria mnamlinda mkopaji/mdaiwa kutotajwa kwa majina yake binafsi!.Benki ya crdb inatarajia kupiga mnada mali za John Komba anayedaiwa zaidi ya tsh 1 bilioni ndani ya siku 7.Source magazeti ya leo.Wakubwa wa ccm wanaifaidi hii nchi kwa kila sekta wananyonya tuu
Mwanajeshi au muimbaji wa jeshi?Front page lead story Rais Mwema...bila shaka atakuwa tayari msituni akijiandaa kuja kupambana na 'wadeni' wake.
Watamtambua kwa kumdai mwanajeshi yule ohoooo.
Akishindwa hivyo bila shaka atawatungia nyimbo...wataimbiwa kwaya na kusahau kudai deni.
bora ni private bank huwa hakuna usuperstar.
maana ingekuwa bank ya government, officially ingekuwa imekula kwetu.
Ndo maana anamuunga mkono lowasa; ili amkopeshe ............................. Janja sana
Benki ya crdb inatarajia kupiga mnada mali za John Komba anayedaiwa zaidi ya tsh 1 bilioni ndani ya siku 7.Source magazeti ya leo.Wakubwa wa ccm wanaifaidi hii nchi kwa kila sekta wananyonya tuu
Kuna kitu kinaitwa "right to privacy" na "right to disclosure", akipata mwanasgeria mzuri, anaifungulia CRDB kesi ya madai ya kuchafuliwa jina!, na kuidai bilioni 100!. CRDB ili isizidi kula hasara, wata opt for out or court settlement, na atashuka hadi set off ya 1 bilioni!. Sheria mnamlinda mkopaji/mdaiwa kutotajwa kwa majina yake binafsi!.
Pasco
Wembe ni ule ule MNADA Wembe ni ule ule MNADA Wembe ni ule ule MNAADA...Jama!
Kuna kitu kinaitwa "right to privacy" na "right to disclosure", akipata mwanasgeria mzuri, anaifungulia CRDB kesi ya madai ya kuchafuliwa jina!, na kuidai bilioni 100!. CRDB ili isizidi kula hasara, wata opt for out or court settlement, na atashuka hadi set off ya 1 bilioni!. Sheria mnamlinda mkopaji/mdaiwa kutotajwa kwa majina yake binafsi!.
Pasco
Kuna kitu kinaitwa "right to privacy" na "right to disclosure", akipata mwanasgeria mzuri, anaifungulia CRDB kesi ya madai ya kuchafuliwa jina!, na kuidai bilioni 100!. CRDB ili isizidi kula hasara, wata opt for out or court settlement, na atashuka hadi set off ya 1 bilioni!. Sheria mnamlinda mkopaji/mdaiwa kutotajwa kwa majina yake binafsi!.
Pasco
ni leo kwenye vyombo vya habari tumeskia kwamba mali za mmbunge Kapteni John Komba zitapigwa mnada kwa kudaiwa na benk ya crdb zaidi ya billion moja fedha ambazo ameshindwa kurudisha. Swali langu ni je kwa nini mtu ukope zaidi ya uwezo wako wa kurejesha? Jamani hili liwe fundisho kwetu sisi. Ni kweli saa nyingine tunakuwa na tamaa ya kukopa na kuanzisha biashara ili kufanikiwa haraka. Ila kaa ukijua kuwa biashara hata siku moja haitabiriki