Mali za Kapteni Komba kupigwa mnada na CRDB

Mali za Kapteni Komba kupigwa mnada na CRDB

Mkuu Pasco, clause ya confidentiality haiwi applicable at this level, ingekuwa applicable at the level when there was no default and there was still time for him to pay, now he has defaulted payments,kinachofuata Ni public auction na taratibu za mnada zinahitaji kutangazwa kwa siku ya kufanyika mnada ipi interested buyers wapate nafasi ya Ku bid publicly, after mnada mnunuzi anatakiwa kudeposit 25% immediately and 75% IN 14 days, so hakuna utaratibu uliokiukwa unless aamue yeye Kwenda na mteja wake bank na mteja kununua kimya kimya kufidia deni, mambo ambayo watu wengi wanafanya mjini kwasasa
 
Ametoa tamko kwamba na yeye anazo picha nyeti za Wakurugenzi wa CRDB wa tawi lililo process mkopo.
 
Front page lead story Rais Mwema...bila shaka atakuwa tayari msituni akijiandaa kuja kupambana na 'wadeni' wake.

Watamtambua kwa kumdai mwanajeshi yule ohoooo.

Akishindwa hivyo bila shaka atawatungia nyimbo...wataimbiwa kwaya na kusahau kudai deni.
Haya ni maoni yako au ya Chama?
 
Kuna kitu kinaitwa "right to privacy" na "right to disclosure", akipata mwanasgeria mzuri, anaifungulia CRDB kesi ya madai ya kuchafuliwa jina!, na kuidai bilioni 100!. CRDB ili isizidi kula hasara, wata opt for out or court settlement, na atashuka hadi set off ya 1 bilioni!. Sheria mnamlinda mkopaji/mdaiwa kutotajwa kwa majina yake binafsi!.

Pasco
Pasco wewe wa ajabu sana kama vile hujawai kukopa, benki hakuna siasa weka Mali upate mkopo. Benki ina siri za kukutunzia account tu , sio kuikopa ukasepa nenda access utakuta orodha kubwa na ban za wadaiwa sugu ambao hata Mali zao bado kupigwa mnada
Huyu Komba wakati anaenda kukopa ni lazima alipitia njia zifuatazo.
Mchanganuo wa mradi
Mavalue wa mradi
Value ya thamani kamili ya security bond
Ukaguzi na uakiki wa viwanja alivyoweka kutoka ardhi.
Insurance ya mkopo
Mkataba wa mwanasheria
Sasa hapa utaficha mini
Cha kufanya akamkope Lowasa amlipie shule moja nyingine auze, baki yake akawaonge wananchi vikofia na vitenge arudi bungeni.
Inabidi kumuwai sana Lowasa kabla ya mafriend wake kuacha kumtupia noti
 
Na Siyo Yeye Tu Wapo Wengi tu Na Wengine Tunao Humu Humu JF!!!!!!!!!! Na Bado Wataumbuliwa Wengi Sana....Wakome!

Kwenye RED Wataje kwani sisi tunajifanya kukemea mambo mabaya kama vile kuchukua mkopo bila kulipa kumbe nasi tumo!!!
 
Dina, unapokopeshwa na benki, miongoni mwa vipengele vya mkopaji na mkopeshwaji ni kipengele cha confidentiality, kama ili kwa mwanasheria na mteja wake, mwalimu na mwanafunzi, daktari na mgonjwa, benker na mteja etc!.

Kwenye ulimwengu wa biashara kuna kinaitwa "corporate veil", unapokopeshwa kama kampuni, jina rasmi la kutumika ni jina la taasisi, benki hairuhusiwi to dislose details za wadeni wake, mpaka kwanza waende mahakamani kuomba kibali cha ku unveil ile corporate veil, ndipo wamiliki wanakuwa disclosed na kushitakiwa as individuals!.

Bahati mbaya wengi humu ni vijana wajuzi juzi tuu, kwa wale wazamani wanaweza kukumbuka kisa cha Gazeti la Mtanzania na Banki ya NBC kushitakiwa katika kesi ya madai ya mabilioni ya shilingi, baada ya gazeti hilo kutoa story ya jinsi tajirti fulani anavyodaiwa na NBC.

Tajiri yule alikwenda mahakamani kuishitaki NBC kwa breach of confidentiality kwa ku leak details za madeni ya mteja, mshtakiwa wa pili lilikuwa ni gazeti la Mtanzania enzi hizo chini ya Generali Ulimwengu, ilikuwa gazeti lifilisiwe!. NBC na Mtanzania waka opt for out of court, wakamalizana!.

Japo siyajui mazingira haswa ya deni husika, Komba ni VIP, Mhe. Mbunge, Mjumbe wa NEC ya CCM ni heavy weight, kitendo cha kutajwa tuu anadaiwa ni aibu!. Miradi yake kudaiwa is fine not him!. Kuandika kuwa anafilisiwa kwa kumtaja jina at personal capacity ni kumchafulia jina!. Akipata mwanasheria nguli, anafungua kesi ya madai kuchafuliwa jina na anashinda!.

Pasco.

Ahaaa...sasa kwa nini wa kushtakiwa awe CRDB na si gazeti, kama kosa ni hiyo privacy yake iliyoingiliwa? Nakubali kuwa deni linakuwa kwa jina la kampuni (kama naye mheshimiwa alifanya hivyo au alienda na jina lake ili mkopo uwe fasta), lakini kama ambavyo makampuni mengi 'yanavyojiuza' kuwa ikitajwa tu, hata mtoto mdogo anaijua ni ya nani. Je haiwezekani kuwa jina la kampuni likaunganishwa kwa mhusika na gazeti akauza kwa bolded title...nanihinoo kufilisiwa....Kwa nini jumba bovu liangushiwe benki?

Kwa michezo na delays za the so called sheria, kweli wanaweza kuzunguka mahakamani, wakitakasa majina yao, lakini haibadilishi ukweli kuwa hawaja-service mikopo yao na benki ime-give up.
 
Hawawezi kupiga mnada mali zake. CCM watamkingia kifua na deni lote litafutwa. subirini muone.
 
Benki ya CRDB iko njiani kufilisi mali za mheshimiwa Kapteni John Komba kutokana na kushindwa kulipa deni . Ikiwepo shule zake kupigwa mnana.

Jumla ya deni lote ni shilingi bilioni moja za kitanzania.

======

Front page lead story Rais Mwema...bila shaka atakuwa tayari msituni akijiandaa kuja kupambana na 'wadeni' wake.

Watamtambua kwa kumdai mwanajeshi yule ohoooo.

Akishindwa hivyo bila shaka atawatungia nyimbo...wataimbiwa kwaya na kusahau kudai deni.

Alitumbua hiyo pesa na yule kimada wake wa tabata
 
Hizi habari njema. Ni laana ya hela ya JK Fund inamtafuna, walikaa na mkewe wakaandika majina fake ya SACCOS wakaisajili na mikutano fake na kila kitu fake wakapewa milions kadhaa!!! Hawakurejesha, kuja kufuatilia kumbe majina fake, SACCOs fake kila kitu fake!!!! Na shule zenyewe na Colletha Memorial sijui Bakili Muluzi nazo elimu fake maana performance ni majanga. Hivi siku hizi shule zipo tena au zilishakufa?Tumbo tumbo wa vibinti.
 
Komba uza shule moja ufidie deni hata nusu kuliko zote kuuzwa.
 
thread kama hizi team Lumumba huwaoni humu wanachoweza ni umbeya,unafiki,kujipendekeza kwa malipo ya buku7 tu mmhh!!!
cc;lizaboni,thatha,ifweroo,Ritz, na wapumbavu wenzao.
 
Benki wanafanya biashara ya kukopesha wateja wake kwa masharti sasa mteja anapokiuka masharti ya ukopaji basi benki hutumia mbinu zake zilizokubalika katika mkataba wa kukopeshana ili iweze kurudisha fedha zake; ikiwamo kuuza dhamana zilizowekwa na mteja wakati wa kuchukua mkopo!!

Unfortunately, waziri mkuu anaingiza mambo ya biashara kwenye serikali kwa kutaka benki iwe na double standards kati ya wanasiasa na wateja wa kawaida ; kufanya hivyo ni kujiingiza katika matatizo makubwa kwani wanasiasa wengi wa ccm na hasa wabunge ni wakopaji wazuri katika miradi yao ya pwagu na pwaguzi lakini hawana akili ya kuendesha hiyo miradi ili walipe madeni hivyo hutaka kutumia influence zao za Ubunge na UCCM NEC ili kuilazimisha serikali iwakwamue!!! Mfano ni ule mkopo wa Mzindakaya kule BOT kuanzisha RANCH ambao sasa unasimamiwa na TIB. It is a very bad precedent that the government has created by bailing out these wayward politicians, kwani hao wako wengi na haiwezekani kuwakwamua wote!!!
 
Back
Top Bottom