Malengo Yako Ya 2026 ni yapi?

Malengo Yako Ya 2026 ni yapi?

1. Kuongeza wigo wa biashara, yaani niwe na matawi.

2. Kuuweka sawa mji wa marehemu baba angu uko kijijini uwe na muonekano wa kisasa

3. Kuanzisha taasisi ya kutetea na kuwainua wanaume pamoja na kupaza sauti masaibu yanayokutana nayo katika maisha ya kila siku huku jamii ikiwa inaona ni halali kwa mwanaume kuteseka

4. Kuakikisha sportybet wananipa hela ya kununua gari la kuweka heshima mjini.
 
1. Kuongeza wigo wa biashara, yaani niwe na matawi.

2. Kuuweka sawa mji wa marehemu baba angu uko kijijini uwe na muonekano wa kisasa

3. Kuanzisha taasisi ya kutetea na kuwainua wanaume pamoja na kupaza sauti masaibu yanayokutana nayo katika maisha ya kila siku huku jamii ikiwa inaona ni halali kwa mwanaume kuteseka

4. Kuakikisha sportybet wananipa hela ya kununua gari la kuweka heshima mjini.

Funguka kidogo hapo sportybet wanavyokupa hela ya kununua gari
 
Hi people,
Heri ya mwaka mpya

Malengo yetu ya 2026 ni kupata mtoto wetu wa kwanza, napata mimba mwaka huu na kujifungua mwaka huu
Nachowaza ni kulea....sina experience ya kulea,sijawahi kukaa na mtoto mdogo kwa hata lisaa
Kingine nikiwaza kuchanika kei wakati wa kupush nachoka mimi
Kingine napenda utulivu,nikimpata mtoto anayelia lia sijui itakuwaje

Mambo ni mengi lakini yote kwa yote mwaka huu lengo kuu ni mtoto...nipo very excited actually

Wewe je?

Uzi bado....



View: https://youtu.be/Nm8d5ekU6Bs?si=rFwlEcjHFTpWTE8Q

Kingine nikiwaza kuchanika kei wakati wa kupush nachoka mimi😀😀😀
 
So far akaunti ya sportybet ina milioni moja. Nitakua naenda na game mbili mpka 3 za uhakika naweka stake ndefu. Stake itakua inapanda kadiri salio linavyoongezeka.
Mimi nipo kwenye Forex, nimeweka mtaji wa 1.7M ila kwa muonekano na uzoefu nilioukusanya, ikifika December lazima hizo dolari zikubali kunizalia... 😁
 
Hi people,
Heri ya mwaka mpya

Malengo yetu ya 2026 ni kupata mtoto wetu wa kwanza, napata mimba mwaka huu na kujifungua mwaka huu
Nachowaza ni kulea....sina experience ya kulea,sijawahi kukaa na mtoto mdogo kwa hata lisaa
Kingine nikiwaza kuchanika kei wakati wa kupush nachoka mimi
Kingine napenda utulivu,nikimpata mtoto anayelia lia sijui itakuwaje

Mambo ni mengi lakini yote kwa yote mwaka huu lengo kuu ni mtoto...nipo very excited actually

Wewe je?

Uzi bado....



View: https://youtu.be/Nm8d5ekU6Bs?si=rFwlEcjHFTpWTE8Q

Lengo kubwa ni kuwafukuza CCM ndipo malengo mengine yatatimia
 
Back
Top Bottom