🤣 🤣Malengo yangu ni Kuwezesha Samia kuondoshwa kwenye dola
Hahahah, hata mimi mpaka yananitisha, lakini kwa nguvu za Mungu, yatatimiaMalengo yako makubwa makubwa
1. Kuongeza wigo wa biashara, yaani niwe na matawi.
2. Kuuweka sawa mji wa marehemu baba angu uko kijijini uwe na muonekano wa kisasa
3. Kuanzisha taasisi ya kutetea na kuwainua wanaume pamoja na kupaza sauti masaibu yanayokutana nayo katika maisha ya kila siku huku jamii ikiwa inaona ni halali kwa mwanaume kuteseka
4. Kuakikisha sportybet wananipa hela ya kununua gari la kuweka heshima mjini.
YakwakeHapo biashara inakua ya nani
Asante sanaKunyonyesha atakuuma 😂😂
Soft copy hii hapa.
Kitabu ni cha Kimarekani zaidi, lakini nafikiri kuna mambo unaweza kupata na kujiongeza kwa mazingira uliyopo.
Happy New Year!Asante sana
Kitatusaidia wengi.
Mungu akubariki.
Happy year.
So far akaunti ya sportybet ina milioni moja. Nitakua naenda na game mbili mpka 3 za uhakika naweka stake ndefu. Stake itakua inapanda kadiri salio linavyoongezeka.Funguka kidogo hapo sportybet wanavyokupa hela ya kununua gari
Hi people,
Heri ya mwaka mpya
Malengo yetu ya 2026 ni kupata mtoto wetu wa kwanza, napata mimba mwaka huu na kujifungua mwaka huu
Nachowaza ni kulea....sina experience ya kulea,sijawahi kukaa na mtoto mdogo kwa hata lisaa
Kingine nikiwaza kuchanika kei wakati wa kupush nachoka mimi
Kingine napenda utulivu,nikimpata mtoto anayelia lia sijui itakuwaje
Mambo ni mengi lakini yote kwa yote mwaka huu lengo kuu ni mtoto...nipo very excited actually
Wewe je?
Uzi bado....
View: https://youtu.be/Nm8d5ekU6Bs?si=rFwlEcjHFTpWTE8Q
Naam, karibu sana!Amen
Nitakuuliza mwisho wa mwaka huu ulipofikia
Asante sana
Kitatusaidia wengi.
Mungu akubariki.
Happy year.
Mimi nipo kwenye Forex, nimeweka mtaji wa 1.7M ila kwa muonekano na uzoefu nilioukusanya, ikifika December lazima hizo dolari zikubali kunizalia... 😁So far akaunti ya sportybet ina milioni moja. Nitakua naenda na game mbili mpka 3 za uhakika naweka stake ndefu. Stake itakua inapanda kadiri salio linavyoongezeka.
Hi people,
Heri ya mwaka mpya
Malengo yetu ya 2026 ni kupata mtoto wetu wa kwanza, napata mimba mwaka huu na kujifungua mwaka huu
Nachowaza ni kulea....sina experience ya kulea,sijawahi kukaa na mtoto mdogo kwa hata lisaa
Kingine nikiwaza kuchanika kei wakati wa kupush nachoka mimi
Kingine napenda utulivu,nikimpata mtoto anayelia lia sijui itakuwaje
Mambo ni mengi lakini yote kwa yote mwaka huu lengo kuu ni mtoto...nipo very excited actually
Wewe je?
Uzi bado....
View: https://youtu.be/Nm8d5ekU6Bs?si=rFwlEcjHFTpWTE8Q