Malengo Yako Ya 2026 ni yapi?

Malengo Yako Ya 2026 ni yapi?

Mimi malengo yangu ni matatu tu 2026
1. Kuanza Phd (chap, mwezi wa tatu)
2. Kufungua NGO (Wiki mbili zijazo naiandikisha)
3. Kuanza mchakato wa kuanzisha chama kipya cha siasa (falsafa ya chama tayari ninayo, jina lipo, logo ipo, na katiba nishaanza ku draft

So, God help me. 🤲
 
Mtoto uzoefu utaupata kwa kumlea, kaa na wazazi waliowahi kulea wanaooenda malezi bora watakusaidia. Jiunge vikundi vya wazazi wapya wenye changamoto sawa.

Kimataifa zaidi tafuta kitabu kinaitwa "What To Expect When You Are Expecting" kinaongelea mambo mengi kuhusu mama watarajiwa.

Kupush utapush tu hakuna jinsi, ukishindwa watakuchana Caesarean lakini hiyo mpaka ushindwe kwanza.

Ukipata mtoto ushakubali kumfanya mtoto ndiyo anakuwa kipaumbele utulivu wako unategemea bosi (mtoto) anatakaje. Akilia inabidi na wewe uwe kama mtoto uanze kuongea lugha yake unamchekesha "achigichigichigichiii... achigichigichigichiii.." mpaka anaacha kulia anacheka, mpaka ananyonya, mpaka analala.

Mimi mwaka uliopita nimewashika mkono vijana watano walio katika hatua ya masomo ya chuo, changamoto ni nyingi sana lakini tunakabiliana nazo mpaka wamalize.
Sai sana mkuu. Umeelezea vyema. Nakupongeza sana kwa wema wako wa kuwashika vijana mkono wamalize chuo. Mimi pia kwa mwaka huu nitajitahidi kufuata nyayo zako kwa kusaidia hata wawili.
 
Mimi malengo yangu ni matatu tu 2026
1. Kuanza Phd (chap, mwezi wa tatu)
2. Kufungua NGO (Wiki mbili zijazo naiandikisha)
3. Kuanza mchakato wa kuanzisha chama kipya cha siasa (falsafa ya chama tayari ninayo, jina lipo, logo ipo, na katiba nishaanza ku draft

So, God help me. 🤲

Malengo yako makubwa makubwa
 
Mtoto uzoefu utaupata kwa kumlea, kaa na wazazi waliowahi kulea wanaooenda malezi bora watakusaidia. Jiunge vikundi vya wazazi wapya wenye changamoto sawa.

Kimataifa zaidi tafuta kitabu kinaitwa "What To Expect When You Are Expecting" kinaongelea mambo mengi kuhusu mama watarajiwa.

Kupush utapush tu hakuna jinsi, ukishindwa watakuchana Caesarean lakini hiyo mpaka ushindwe kwanza.

Ukipata mtoto ushakubali kumfanya mtoto ndiyo anakuwa kipaumbele utulivu wako unategemea bosi (mtoto) anatakaje. Akilia inabidi na wewe uwe kama mtoto uanze kuongea lugha yake unamchekesha "achigichigichigichiii... achigichigichigichiii.." mpaka anaacha kulia anacheka, mpaka ananyonya, mpaka analala.

Mimi mwaka uliopita nimewashika mkono vijana watano walio katika hatua ya masomo ya chuo, changamoto ni nyingi sana lakini tunakabiliana nazo mpaka wamalize.

Asante sana mkuu
Hicho kitabu sijui naweza kukipata kwa softcopy?

Loooh kunyonyesha napo sijui itakuwa inatekenya ama sijui hisia ni ile ile nayoijua 🙌
 
Hi people,
Heri ya mwaka mpya

Malengo yetu ya 2026 ni kupata mtoto wetu wa kwanza, napata mimba mwaka huu na kujifungua mwaka huu
Nachowaza ni kulea....sina experience ya kulea,sijawahi kukaa na mtoto mdogo kwa hata lisaa
Kingine nikiwaza kuchanika kei wakati wa kupush nachoka mimi
Kingine napenda utulivu,nikimpata mtoto anayelia lia sijui itakuwaje

Mambo ni mengi lakini yote kwa yote mwaka huu lengo kuu ni mtoto...nipo very excited actually

Wewe je?

Uzi bado....



View: https://youtu.be/Nm8d5ekU6Bs?si=rFwlEcjHFTpWTE8Q


Shule zifunguliwe jamani.

Kha
 
Asante sana mkuu
Hicho kitabu sijui naweza kukipata kwa softcopy?

Loooh kunyonyesha napo sijui itakuwa inatekenya ama sijui hisia ni ile ile nayoijua 🙌
Kunyonyesha atakuuma 😂😂

Soft copy hii hapa.

Kitabu ni cha Kimarekani zaidi, lakini nafikiri kuna mambo unaweza kupata na kujiongeza kwa mazingira uliyopo.
 

Attachments

Back
Top Bottom