Mikopo Consultant
JF-Expert Member
- Oct 28, 2024
- 2,235
- 4,382
Mimi malengo yangu ni matatu tu 2026
1. Kuanza Phd (chap, mwezi wa tatu)
2. Kufungua NGO (Wiki mbili zijazo naiandikisha)
3. Kuanza mchakato wa kuanzisha chama kipya cha siasa (falsafa ya chama tayari ninayo, jina lipo, logo ipo, na katiba nishaanza ku draft
So, God help me. 🤲
1. Kuanza Phd (chap, mwezi wa tatu)
2. Kufungua NGO (Wiki mbili zijazo naiandikisha)
3. Kuanza mchakato wa kuanzisha chama kipya cha siasa (falsafa ya chama tayari ninayo, jina lipo, logo ipo, na katiba nishaanza ku draft
So, God help me. 🤲