Malengo Yako Ya 2026 ni yapi?

Malengo Yako Ya 2026 ni yapi?

Hi people,
Heri ya mwaka mpya

Malengo yetu ya 2026 ni kupata mtoto wetu wa kwanza, napata mimba mwaka huu na kujifungua mwaka huu
Nachowaza ni kulea....sina experience ya kulea,sijawahi kukaa na mtoto mdogo kwa hata lisaa
Kingine nikiwaza kuchanika kei wakati wa kupush nachoka mimi
Kingine napenda utulivu,nikimpata mtoto anayelia lia sijui itakuwaje

Mambo ni mengi lakini yote kwa yote mwaka huu lengo kuu ni mtoto...nipo very excited actually

Wewe je?

Uzi bado....



View: https://youtu.be/Nm8d5ekU6Bs?si=rFwlEcjHFTpWTE8Q

Funga ndoa kwanza, ndipo uzae
 
Hi people,
Heri ya mwaka mpya

Malengo yetu ya 2026 ni kupata mtoto wetu wa kwanza, napata mimba mwaka huu na kujifungua mwaka huu
Nachowaza ni kulea....sina experience ya kulea,sijawahi kukaa na mtoto mdogo kwa hata lisaa
Kingine nikiwaza kuchanika kei wakati wa kupush nachoka mimi
Kingine napenda utulivu,nikimpata mtoto anayelia lia sijui itakuwaje

Mambo ni mengi lakini yote kwa yote mwaka huu lengo kuu ni mtoto...nipo very excited actually

Wewe je?

Uzi bado....



View: https://youtu.be/Nm8d5ekU6Bs?si=rFwlEcjHFTpWTE8Q

Mtoto uzoefu utaupata kwa kumlea, kaa na wazazi waliowahi kulea wanaooenda malezi bora watakusaidia. Jiunge vikundi vya wazazi wapya wenye changamoto sawa.

Kimataifa zaidi tafuta kitabu kinaitwa "What To Expect When You Are Expecting" kinaongelea mambo mengi kuhusu mama watarajiwa.

Kupush utapush tu hakuna jinsi, ukishindwa watakuchana Caesarean lakini hiyo mpaka ushindwe kwanza.

Ukipata mtoto ushakubali kumfanya mtoto ndiyo anakuwa kipaumbele utulivu wako unategemea bosi (mtoto) anatakaje. Akilia inabidi na wewe uwe kama mtoto uanze kuongea lugha yake unamchekesha "achigichigichigichiii... achigichigichigichiii.." mpaka anaacha kulia anacheka, mpaka ananyonya, mpaka analala.

Mimi mwaka uliopita nimewashika mkono vijana watano walio katika hatua ya masomo ya chuo, changamoto ni nyingi sana lakini tunakabiliana nazo mpaka wamalize.
 
Back
Top Bottom