Malengo Yako Ya 2026 ni yapi?

Malengo Yako Ya 2026 ni yapi?

You'll be fine. Muhimu ni kwamba unataka mtoto. Ingawa wana changamoto zao ila yote kwa yote watakufanya ufurahie dunia maarufu. Kuhusu kuchanika msamba....Kamata huu ushauri. Push only when you feel like pushing, sio kwa sababu nesi kakwambia U push. Ukipata contraction mwili wako ndio unaomsukuma mtoto wewe unasaidia kidogo tu kwa ku push. All the best!
 
Hi people,
Heri ya mwaka mpya

Malengo yetu ya 2026 ni kupata mtoto wetu wa kwanza, napata mimba mwaka huu na kujifungua mwaka huu
Nachowaza ni kulea....sina experience ya kulea,sijawahi kukaa na mtoto mdogo kwa hata lisaa
Kingine nikiwaza kuchanika kei wakati wa kupush nachoka mimi
Kingine napenda utulivu,nikimpata mtoto anayelia lia sijui itakuwaje

Mambo ni mengi lakini yote kwa yote mwaka huu lengo kuu ni mtoto...nipo very excited actually

Wewe je?

Uzi bado....



View: https://youtu.be/Nm8d5ekU6Bs?si=rFwlEcjHFTpWTE8Q

Malengo 2026 ni kuoa.
 
Hi people,
Heri ya mwaka mpya

Malengo yetu ya 2026 ni kupata mtoto wetu wa kwanza, napata mimba mwaka huu na kujifungua mwaka huu
Nachowaza ni kulea....sina experience ya kulea,sijawahi kukaa na mtoto mdogo kwa hata lisaa
Kingine nikiwaza kuchanika kei wakati wa kupush nachoka mimi
Kingine napenda utulivu,nikimpata mtoto anayelia lia sijui itakuwaje

Mambo ni mengi lakini yote kwa yote mwaka huu lengo kuu ni mtoto...nipo very excited actually

Wewe je?

Uzi bado....



View: https://youtu.be/Nm8d5ekU6Bs?si=rFwlEcjHFTpWTE8Q

Ikawe heri Comred🔥👋
 
Malengo yangu ni kuomba miez iende haraka nipokee mishahara yangu 12
 
Back
Top Bottom