Makosa wafanyayo wanaume katika kutuma nauli ili mwanamke aje ghetto ambayo husababisha mwanamke kutokuja ghetto licha ya kutumiwa nauli

LIKUD

JF-Expert Member
Dec 26, 2012
15,120
27,126
Kama umetuma nauli Na mwanamke hajaja ghetto basi wewe ndio mwenye makosa Na sio mwanamke ambae hajaja ghetto.

IPO namna ya kutuma nauli ambayo uki I apply mwanamke lazima aje ghetto.
( HAPA NAMZUNGUMZIA MWANAMKE AMBAE NDIO ANAKUJA GHETTO KWAKO KWA MARA YA KWANZA. )

Kabla sija elezea mbinu hiyo ngoja Nianze kuelezea makosa wayafanyayo wanaume katika kutuma nauli.

KOSA LA KWANZA: Kutuma nauli kamili.

Kwa mfano mwanamke anaishi Moro wewe upo Dar. Nauli ya kutoka Dar Hadi Moro Ni Tsh elfu Saba. Wewe unamtumia sh elfu 9 Na Mia name au elfu Kumi ili atoe elfu Saba kamili. Hapo mwanamke hawezi kuja. Unemtumia Hela ya kununulia Bando. Atakuona kapuku

Ifahamike kuwa mwanamke anaeomba nauli anapo kuomba nauli lengo lake anataka kujua kama una Hela au huna. Wewe kwakuwa lengo lako Ni Kula papuchi unatakiwa kucheza Na akili yake. Muonyeshe kwamba una Hela..( aliwahi kusema Cassanova ukitaka kumtongoza mwanamke usitumie akili yako, tumia akili yake)

Unapo mtumia nauli kamili anajua hapo hamna kitu Na anajua hata akija utakula papuchi Na utaishia kumpa Hela ya Kula.

Ufanye Nini Sasa?

Cheza Na akili yake. Si anasema yupo Morogoro sio? Nauli ya Moro Ni sh elfu Saba sio? Wewe mtumie sh elfu 55 ili atoe elfu 50 kamili.

Hapo utakuwa umeiteka akili yake tayari. Umesha confirm kwenye mind yake kwamba una Hela. Usisahau mwanamke huwa anafanya maamuzi Kwa kutumia hisia

KOSA LA PILI: Kumpigia simu baada ya kumtumia Hela ili kumuuliza kama ameiona Hela.

Come on man, si umetuma mwenyewe kwenye simu yako? Kwani simu yako haionyeshi kama Hela ameisha ipokea? Au kama umetuma Kwa wakala, wakala si amesha kwambia kwamba Pesa imefika. Wewe swali la kumuuliza Ni " nikutumie Pesa kwenye namba ipi?" Akikujibu muulize itatoa Jina Gani full stop. After that wewe fanya muamala Kisha kaa kimya. May be u can tell her nakutumia nauli Sasa hivi... Hapo utakuwa ume mchanganya Zaidi, atazidi kuamini wewe una Hela Kwa Sababu unemtumia Hela nyingi Na Wala hujampigia simu kumuuliza kama kapata.

Ukitaka kumchanganya Zaidi, akisha pokea Pesa then akakupigia, usipokeee, after 3 missed call or something mtext mwambie upo busy kidogo utamjulisha ukiwa free.. hapo mkuu utakuwa umeiteka akili yake chini ya MIGUU yako.


KOSA LA TATU: Kupiga simu Na kumuuliza atakuja gheto SAA ngapi au lini? Come on man bro, mlisha kubaliana kabla ya kumtumia Hela So you don't need to remind her again ukifanya hivyo utaonyesha you are desperate . Usimuonyeshe kwamba una usongo nae Sana..

Subiri yeye mwenyewe atakupigia kumwambia anakuja..

Kwanini hawezi kuacha kuja ukimfanyia hivyo?

Kwa Sababu anajua akifanya hivyo atakuwa amepiga teke gunia la Hela. Kwa jinsi ulivyo mtreat Aamini wewe Ni mwanaume ambae una access Na wanawake wengi Na unaweza kumpata mwanamke yoyote unae mtaka wakati wowote Na atajiona mwenye Bahati kukutana Na MTU kama wewe. Hapo atakuwa anapiga hesabu za mizinga ya baadae mikubwa mikubwa..

Anyways kutuma nauli ni sacrifice. The law of sacrifice states that the larger the sacrifice the higher the wage
 
"Eeeeeh BABA nimeshatuma nauli kwa JACKY, sababisha JACKY afike salama"
20211213_192729.jpg
 
Hebu nitumieni na mie hizo nauli
Nimemtumia juzi dada mmoja hivi sh 13,000 na nauli ni 6000 mpaka nilipo akaingia mitini.

Nikabaki nacheka tu,maana angekuja angekula vizuri, ningem- handle vizuri, mikuno mitamu ningempa, nilikuwa nipo tayari kwenda kwao na ningempa fungu anunue nguo za sikukuu wiki ijayo.


Et akajifanya mjanja akaingia mitini na 13000 hahahaaaaaa wanawake bwana, wapo very blind sometimes.
 
Mkuu nikitumia mbinu zako na hela yangu ikaliwa, aloooo!!!!

Sent from my SM-G920F using JamiiForums mobile app

Kazi anayo? Ila hii mbinu ya moto sana ni kama una bet lolote laweza tokea.... alafu kwann utongoze dem yupo arusha we upo dar mkuu? Hapo daslamu hamna mademu? Mambo ya elfu 50 mtu mmekutana humu jamii forums si hatari hii mkuu
 
I
Nimemtumia juzi dada mmoja hivi sh 13,000 na nauli ni 6000 mpaka nilipo akaingia mitini.

Nikabaki nacheka tu,maana angekuja angekula vizuri,ningem- handle vizuri,ningemnyonya papuchi mpaka azimie ma mikuno mitamu ningempa,nilikuwa nipo tayari kwenda kwao na ningempa fungu anunue nguo za sikukuu wiki ijayo.


Et akajifanya mjanja akaingia mitini na 13000 hahahaaaaaa wanawake bwana,wapo very blind sometimes.
Ungemtumia 44k lazima angekuja
 
Nimemtumia juzi dada mmoja hivi sh 13,000 na nauli ni 6000 mpaka nilipo akaingia mitini.

Nikabaki nacheka tu,maana angekuja angekula vizuri,ningem- handle vizuri,ningemnyonya papuchi mpaka azimie ma mikuno mitamu ningempa,nilikuwa nipo tayari kwenda kwao na ningempa fungu anunue nguo za sikukuu wiki ijayo.


Et akajifanya mjanja akaingia mitini na 13000 hahahaaaaaa wanawake bwana,wapo very blind sometimes.

Polee mkuu!!!! Hii tunaitaje
 
I
Nimemtumia juzi dada mmoja hivi sh 13,000 na nauli ni 6000 mpaka nilipo akaingia mitini.

Nikabaki nacheka tu,maana angekuja angekula vizuri,ningem- handle vizuri,ningemnyonya papuchi mpaka azimie ma mikuno mitamu ningempa,nilikuwa nipo tayari kwenda kwao na ningempa fungu anunue nguo za sikukuu wiki ijayo.


Et akajifanya mjanja akaingia mitini na 13000 hahahaaaaaa wanawake bwana,wapo very blind sometimes.
Ungemtumia 44k lazima angekuja
 
Back
Top Bottom