The unpaid Seller
JF-Expert Member
- Oct 27, 2019
- 1,876
- 5,443
Peace be upon you all,
Siku za hivi karibuni kumeibuka dhana ya wanaume kutaka kuoa wao wanasema "kuoana" na wanawake wenye kipato na ajira ili "kusaidiana maisha"
Aina hii ya wanaume ni wanaume dhaifu both mentally and physically oooh wait hata spiritually ni dhaifu na magoi goi. Tangu lini mwanamke akamsaidia mwanaume ?! Hivi unawafahamu wanawake wewe ?!
Hivi kweli umekaa hapo na makende yako ati To yeye atakusaidia maisha kwakua yeye ni mwalimu na wewe ni muhasibu wa ka NGO gani gani huko ?!! Hivi unawasikia au unawafahamu hawa viumbe, kwanza viajira vinawapa ujuaji, kiburi na jeuri ya hali ya juu
Kawaulize mabini mashuleni na vyuoni kwanini wanakazana kusona (nawanakazana haswa sio mchezo) watakwambia wanasma ili wasije "kunyanyaswa" na mwanaume alafu wewe fala ati unataka waje "wakusaidie" maisha my friend una akili sawa kweli ?! ikumbukwe kwao kua chini ya uongozi wa mwanaume ni kunyanyaswa.
Mwanamke mwenye ajira, kwake ajira ina umuhimu kuliko familia na wewe mume. Akiambima achague kazi au wewe atachagua kazi kabla hata muuliza swali hajamaliza kuuliza.
mwanamke yuko radhi mlale njaa ila kwenye mkoba wake ana million na ushee argument yake ni kua sio jukumu lake kuhudumia familia, sasa ukimuuliza anafanya kazi ili iweje subiri vita ya Urusi na Ukrane. Wanataka haki sawa ila wanataka pia na special treatment qmamae hao ndio wanawake.
Hawa viumbe kwa ubinafsi hapajakuwako na hapatakuwako mfano wao chini ya jua, chini ya bahari na hata juu ya vilima na mawingu na hata mpaka miisho ya dunia. Hawa mafeminist ati wakusaidie maisha kuna wanaume wajinga sana dunia hii ila wanakipata cha mtema kuni
Wanawake hawafanyi kazi huko maofisini ati ili wakusaidie, NEVER wanafanya kazi ili "wasibabaishwe" wawe huru "wasitawaliwe" wajiamulie watakalo ikumbukwe wanawake wameumbwa na negative energy na uasi ndani yao bila kua chini ya mwanaume hutumiwa sana na shetani kuwaangamiza wanaume.
Vitabu vya imani vinamtaja mwanaume kwa hulkatna tabia ya Mungu huku mwanamke kwa hulka na tabia za shetani.
Kwanza kati ya familia zilizoganda kimaendeleo ni hizi za "kuoana" wote waajiriwa ili "kusaidiana maisha" mume daktari mwanamke askari polisi qmmae hawa hawapigi hatua yoyote wataishia kua daraja la kati au chini siku zote.
Sababu ni nyingi ila kubwa ni migogoro isiyoisha. Fuatilia wanandoa wenye viajira mume na mke kutwa ni minyukano na kutunishiana misuli sasa hapo maendeleo yanapatikanaje mwanawane ?!
Angalia hata masingo maza wengi ni wanawake wenye viajira wanaviburi, jeuri mixa ujuaji mwingi na kwa mwanaume kamili hawezi kuvumilia huo upuuzi hata kwa dawa kuna siku uanaume ndani yake utamzindua kwenye huo upuuzi. Lazima atapiga chini hilo feminist
Sijasema familia za baba mtafutaji mama anatunza familia hazina mogogoro ila hua ni michache sana na suluhu hupatikana mapema bila kuleta madhara makubwa na hivyo mume hua na utulivu wa akili. Na hapo ndio mipango ya maendeleo inatekelezwa kwa ufanisi.
Hebu niambid Mo Dewji je mke wake kaajiriwa wapi mpaka "wakasaidiana" maisha ??! Mke wa Bakhresa je ameajiriwatwapi mpaka wakasaidiana wakawa matajiri ?! Penye migogoro na malumbano (ambayo imetawala wanandoa waajiriwa) hakuna baraka hapo wala hakuna utulivu wa kupanga mikakati ya maendeleo.
Ili pawe na maendeleo lazima pawe na kiongozi sasa hawa familia za haki sawa ukoo wa kambale wote wana ndevu mume na mke wote kila mtu mjuaji ndio mnaona matokeo wanaume wengi siku hizi wanakufa mapema kwa mapresha, kisukari, shinikizo mara heart attack na magongwa mengine lukuki.
Wanaume waliooa wanawake wenye ajira wanaishi kwa maumivu na dhoruba kuu ni vile wanaugulia kimya kimya na NDIO WAKOME kutokusikia tangu lini mwanamke akamsaidia mwanaume.
Asante Mungu kwa kunipatia mke bora anaeitambua nafasi yake kama mke. Asante mama A mke wangu kipenzi, Asante kwa kuniombea kwa Mungu, asante kwa kuwalea watoto wangu kwa upendo wanaostahili. Nitaendelea kuzisaka noti kwa mzuka na morali ya hali ya juu ili wewe na watoto wangu muendelee kuishi kwa mustarehe maana unastahili mema ya nchi.
picha hainihusu ila napenda falsafa ya mume kama kiongozi, mtafutaji, mfariji na sio falsafa ya haki sawa, feminism rabish.
Siku za hivi karibuni kumeibuka dhana ya wanaume kutaka kuoa wao wanasema "kuoana" na wanawake wenye kipato na ajira ili "kusaidiana maisha"
Aina hii ya wanaume ni wanaume dhaifu both mentally and physically oooh wait hata spiritually ni dhaifu na magoi goi. Tangu lini mwanamke akamsaidia mwanaume ?! Hivi unawafahamu wanawake wewe ?!
Hivi kweli umekaa hapo na makende yako ati To yeye atakusaidia maisha kwakua yeye ni mwalimu na wewe ni muhasibu wa ka NGO gani gani huko ?!! Hivi unawasikia au unawafahamu hawa viumbe, kwanza viajira vinawapa ujuaji, kiburi na jeuri ya hali ya juu
Kawaulize mabini mashuleni na vyuoni kwanini wanakazana kusona (nawanakazana haswa sio mchezo) watakwambia wanasma ili wasije "kunyanyaswa" na mwanaume alafu wewe fala ati unataka waje "wakusaidie" maisha my friend una akili sawa kweli ?! ikumbukwe kwao kua chini ya uongozi wa mwanaume ni kunyanyaswa.
Mwanamke mwenye ajira, kwake ajira ina umuhimu kuliko familia na wewe mume. Akiambima achague kazi au wewe atachagua kazi kabla hata muuliza swali hajamaliza kuuliza.
mwanamke yuko radhi mlale njaa ila kwenye mkoba wake ana million na ushee argument yake ni kua sio jukumu lake kuhudumia familia, sasa ukimuuliza anafanya kazi ili iweje subiri vita ya Urusi na Ukrane. Wanataka haki sawa ila wanataka pia na special treatment qmamae hao ndio wanawake.
Hawa viumbe kwa ubinafsi hapajakuwako na hapatakuwako mfano wao chini ya jua, chini ya bahari na hata juu ya vilima na mawingu na hata mpaka miisho ya dunia. Hawa mafeminist ati wakusaidie maisha kuna wanaume wajinga sana dunia hii ila wanakipata cha mtema kuni
Wanawake hawafanyi kazi huko maofisini ati ili wakusaidie, NEVER wanafanya kazi ili "wasibabaishwe" wawe huru "wasitawaliwe" wajiamulie watakalo ikumbukwe wanawake wameumbwa na negative energy na uasi ndani yao bila kua chini ya mwanaume hutumiwa sana na shetani kuwaangamiza wanaume.
Vitabu vya imani vinamtaja mwanaume kwa hulkatna tabia ya Mungu huku mwanamke kwa hulka na tabia za shetani.
Kwanza kati ya familia zilizoganda kimaendeleo ni hizi za "kuoana" wote waajiriwa ili "kusaidiana maisha" mume daktari mwanamke askari polisi qmmae hawa hawapigi hatua yoyote wataishia kua daraja la kati au chini siku zote.
Sababu ni nyingi ila kubwa ni migogoro isiyoisha. Fuatilia wanandoa wenye viajira mume na mke kutwa ni minyukano na kutunishiana misuli sasa hapo maendeleo yanapatikanaje mwanawane ?!
Angalia hata masingo maza wengi ni wanawake wenye viajira wanaviburi, jeuri mixa ujuaji mwingi na kwa mwanaume kamili hawezi kuvumilia huo upuuzi hata kwa dawa kuna siku uanaume ndani yake utamzindua kwenye huo upuuzi. Lazima atapiga chini hilo feminist
Sijasema familia za baba mtafutaji mama anatunza familia hazina mogogoro ila hua ni michache sana na suluhu hupatikana mapema bila kuleta madhara makubwa na hivyo mume hua na utulivu wa akili. Na hapo ndio mipango ya maendeleo inatekelezwa kwa ufanisi.
Hebu niambid Mo Dewji je mke wake kaajiriwa wapi mpaka "wakasaidiana" maisha ??! Mke wa Bakhresa je ameajiriwatwapi mpaka wakasaidiana wakawa matajiri ?! Penye migogoro na malumbano (ambayo imetawala wanandoa waajiriwa) hakuna baraka hapo wala hakuna utulivu wa kupanga mikakati ya maendeleo.
Ili pawe na maendeleo lazima pawe na kiongozi sasa hawa familia za haki sawa ukoo wa kambale wote wana ndevu mume na mke wote kila mtu mjuaji ndio mnaona matokeo wanaume wengi siku hizi wanakufa mapema kwa mapresha, kisukari, shinikizo mara heart attack na magongwa mengine lukuki.
Wanaume waliooa wanawake wenye ajira wanaishi kwa maumivu na dhoruba kuu ni vile wanaugulia kimya kimya na NDIO WAKOME kutokusikia tangu lini mwanamke akamsaidia mwanaume.
Asante Mungu kwa kunipatia mke bora anaeitambua nafasi yake kama mke. Asante mama A mke wangu kipenzi, Asante kwa kuniombea kwa Mungu, asante kwa kuwalea watoto wangu kwa upendo wanaostahili. Nitaendelea kuzisaka noti kwa mzuka na morali ya hali ya juu ili wewe na watoto wangu muendelee kuishi kwa mustarehe maana unastahili mema ya nchi.
picha hainihusu ila napenda falsafa ya mume kama kiongozi, mtafutaji, mfariji na sio falsafa ya haki sawa, feminism rabish.