Kabisaa 😅Unaweza kutabiri hata ufufuko na fumanizi😂
Sijawahi fanya makosa hayoTuhuma bila ithibati!
Utani wenye uhalisia.!
Wivu wa kijinga!
Shuku kisa chitchat!
Maskhara yanapogeuka ugomvi.
Umbea kwa usiyemjua vema..!
Ma snitch!
Hisia zilizotafsiriwa kinyume!🤔😫😷
unajidhalilisha tu angalia usiache ndala🤣🤣🤣Washauri nasaha. I have never miss my target take it. nawaomba Selfika (fair ground) saa tatu kamili, Tugawane urithi Kila mtu asihadisiwe no more stories, Halafu tutaona nani anayevuliwa nguo kuchutuma.
My drons Raine collins
Mbishi flani aliset standards zake na hataki shobo ila kumbe ni keyboard hero 😁Nyau weeeh.!! 😹😹
Nimecheka kinouma, me hapo niko kwenye kipengele gani Noma?
Hao kitaalam ni hawajitambui ishu za private zitabaki kuwa private hata kama mkitofautiana.Mbona wale wa mahusiano wanaanza huku wamependana halafu wakiachana wanakuja kumwagana maungo yao humu hujawataja 😂 😂
View attachment 3575011
Hapa nipo namba 5 mgongoniJF ni kama mtaani tu watu waliopo humu ni wale wale waliopo mtaani
1 .Wambeya wako hapa tena kwa jinsia zote Me na Ke
2. Wenye wivu na roho mbaya wako hapa huyu anaweza hata kuchukia jina la I'd yako au avatar au namna una vyoandika : huyu ni kama mgonjwa😁
3. kuna wajuaji hawa wanajua kila kitu mpka unachowaza🤔😁
4. Kuna wenye makasiliko huyu anaweza kukupurupka na kumwaga matusi kama njugu😀
5.Kuna wapenda utani wao mda wote wapo happy 😊 na kufurahi na wengine
6.kuna wanaosoma mada na comment kisha wanapita hivi hawa sio watu wa maneno mengi
7.kuna wapolee tu hata kwa comment zao 🤗
8.kuna Ma genius 👏 akiendika sehemu unasema tawile
9.Kuna wanaojiita wasomi
Wachambuzi wa mambo
10. Kuna vilaza
Vilaza promax
Cha msingi wewe JF unaingia kwa lengo gani ? Ingia ila huepukani na kukutana na watu tajwa hapo juu🤝
SaafiiHapa nipo namba 5 mgongoni
[emoji23][emoji23][emoji23]Mbona wale wa mahusiano wanaanza huku wamependana halafu wakiachana wanakuja kumwagana maungo yao humu hujawataja [emoji23] [emoji23]
View attachment 3575011
[emoji23][emoji23][emoji23] aaaah kumekuchaa sasa. Lol[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] humu hamna mtu anayesemwa mi naona tunaambiana tu live. Sasa mtu kwenye id hii ni marafiki, anakuja na I'd nyingine anakutukana guys guys let it be .LMG is full loaded. Ukifiwa ndio unanjifanya una roho ngumu [emoji1787]
[emoji23][emoji23][emoji23]Tutafute Shoga lakini njoo na ile I'd yako bwana mbona Mimi nimenyooka wima. [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Codes zangu ziligonga humo humo kwa Depal na bwana anayegombaniwa huyo certified hater [emoji81][emoji81][emoji81][emoji81]
Hao wana bifu toka kitambo aaahh huo ubuyu naujua mwanakwetu…!! [emoji1787]
Kwahiyo Depal alifiwa na mtoto au nani??
Hapo ndo sijajua..!!
Ila D humu ndani anaonekana wa moto sana anatuhumiwa sana kubeba vichwa vya wenzie..!! Atakuwa mtramu huyu..!! Atupe tips anatumia nini na sie tutumie kwa wahalifu wetu..!! [emoji81][emoji81][emoji81]
D Igweeeeeeeeeeeee
We demu mtundu mtundu sana!!
Au Marry J nyingi unazifukiza mpk kwenye nonino[emoji1787][emoji81][emoji81][emoji81]
Mbona unafufua makaburi tena 😅[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]