Makosa tuyafanyayo ndani ya JF

Makosa tuyafanyayo ndani ya JF

Kwa iyo nini kifanyike ili hili lisitokee tena
209b2fb5-dced-4762-b782-987894d00d91.jpeg
 
🥺I received a calm warning, described from The Data protection Act (bulliyng so so so.) But the reggae will never stop untill then.
I choose to ignore you from now on because I don’t know what you’re going through, but you have absolutely no right to treat me the way you did

Lastly, respect is not something you demand it’s something you earn through your behavior Your actions will determine whether you are respected or looked down upon

Uliyekuwa unanifananisha naye amejitokeza Natumaini sasa una amani, na utaweza kuheshimu uwepo wangu humu jamvini bila kuniudhi tena 🙏🙏
 
Hivi wambea wenzangu kweli nyie wa kukosa kunishtua hata kwa simu nije nishuhudie wake wenza wakichambana?? 😹😹😹

Fake P na ShesRise_1 Niwafungulie uzi?
Mimi haya mambo vitu zangu napentraa kweli mahi zangu..!!

Kama mpo online njooni bana tulianzishe shengesha upya..!! 🤣😹😹
 
Wewe haupo timamu maskini si wakulumiwa sana 😢 sijui una kichaa cha ndoa

Huyo mwanaume unaenihusisha nae na simjui nikimujua lazima nimuonje atakua najua mambo maana sio kwa muhaho huu😁

Mimi sio huyo unaemuita D ukute yuko pembeni anakuangalia namna unavyoweweseka 🙌

Ila huyo unaemuita D kajua kukunyosha ***** 😁😁
D yupiiii teenaaa au Donald Trump? 😹😹😹

Mnatupa tabu wambea kupiga ana ana doo 😥
 
Back
Top Bottom