Lamomy
JF-Expert Member
- Sep 4, 2023
- 39,595
- 95,258
😹😹😹😹😹Nataka nikufundishe kitu binti tega sikio mwanaume hatafutwi kwa namna hii akisoma hapa atazidi ku m date huyo D mala mia maana wewe hujielewi
Nitakupa sababu kwanini huyo mwanaume wako ana ku cheat 🫰
Kwanza kitendo cha kufanisha I'd yangu na huyo unaemuita D bila uhakika wala ushahidi bali kwa mihemko yako inaonesha ni kiasi gani shule haikua na faida kwako ada wazazi wangelewa kukiko kuuza ng'ombe na kusomesha ng'ombe nyingine🙌
Narudia mimi sio huyo D unaemtafuta natudia mimi sio huyo D unaemtafuta
Nitakushauri kitu dada mapenzi sio ubabe
Jaribu kujilegeza mtoto wa kike huyo bwana sijui mume arudi kwako
Lasivyo kwa ujinga huu huyo bwana atakuchoka au tayali kakuchoka ndio maana tokea ulivyofananisha I'd yangu na huyo D unashinda ukibweka humu
Binti kaa jiulize huyo D kakuzidi wapi ?
Kama kuiuno huzungushi anza kuzungusha kama nazi kuhuni bibi kunaa kipenzi lamba na koni
Huenda labda utamshawishi arudi
Lakini hivii😁 utaendelea kubweka na mume harudi ng'ooo bora basi mie ningekua D ningekuhurumia ili usije kuokota makopo ila sasa mie sio 😢
Kingine hebu dili na mwanaume wako kaeni kitako mlambe hata unyao ili amuache D maana inaonekana bila yeye tutakupoteza maskini😢
Wallah nimekuhurumia laiti ningekua huyo D ningekuachia maskini ila sasa mie sie 😢
Onyo langu la mwisho stop ku quote kwenye comment au kuni fata PM badala yake Nunua kanga moja uvae na kikuku tafuta na chetezo usubiri huo msalaba wako 🙏🤝
