Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 371,512
- 860,553
- Thread starter
- #201
Thread 'Mtanange wa kushangaza' Mtanange wa kushangazaTengeneza nataka nimnyooshe huyu anaejitia kichaa na kumbe mzima
Fake P tuwe na uzi wetu shoga angu
Thread 'Mtanange wa kushangaza' Mtanange wa kushangazaTengeneza nataka nimnyooshe huyu anaejitia kichaa na kumbe mzima
Fake P tuwe na uzi wetu shoga angu
Nimeuona hebu niendelee kusoma taratibu 😅😅, ila JFMimi mganga 😀
.Thread 'Mtanange wa kushangaza' Mtanange wa kushangaza
Hiyo nyingine njoo uitaje kuleeTutafute Shoga lakini njoo na ile I'd yako bwana mbona Mimi nimenyooka wima. 🤣🤣🤣
Waulizee Wakuu wenye miliki picha p ilienda wapi kuleHiyo nyingine njoo uitaje kulee
Ndio huyo peke yake tu shindii , ndio maana kuachana ni ngumu😅Mbona mashirimaa anakupenda hivyo hivyo na upampula wako🤣
Wewe ni kichaa 🚮🚮🚮Waulizee Wakuu wenye miliki picha p ilienda wapi kule
Acha upuuzi wako wa kunifatilia na kunitishia mie sitishiki ki hivyoWaulizee Wakuu wenye miliki picha p ilienda wapi kule
🤣🤣🤣🤣 ipo siku!Ndio huyo peke yake tu shindii , ndio maana kuachana ni ngumu😅
We uko umetoka wapi tena 😁JAMANI EEEEH MI NAACHA NDARA HUKU
Hahhaahaha wiki hii ni mwendo wa hennessy tu shindii , nimepumzika kunywa mataputapu😅😅🤣🤣🤣🤣 ipo siku!
🤣🤣🤣 Hivi havinogi bwana bila ile I'd yako ndio nikuonyeshe ufatiliaji upoje 🤣🤣 nikama nacheza na mtoto tuAcha upuuzi wako wa kunifatilia na kunitishia mie sitishiki ki hivyo
Tafuta mwanaume wako myamalize 🚮🚮🚮🚮🚮🚮🚮🚮🚮🚮🚮🚮🚮🚮🚮🚮🚮🚮
Maskini 😢🤣🤣🤣 Hivi havinogi bwana bila ile I'd yako ndio nikuonyeshe ufatiliaji upoje 🤣🤣 nikana nacheza na mtoto tu
Pole mahi 😢🤣Mara unanikataza mara unanikaribisha 🤣🤣 sawa nipo Shooo
Acha kabisa we umetokea wapi kwaniWe uko umetoka wapi tena 😁
Nimetoka hukoo mtaa wa saba yasemekana nimenyakua bwana wa mtu 😁😁Acha kabisa we umetokea wapi kwani
mi nipo sana humu sema nipo kule intellegence
Karibu mdogo wangu🏃♂️🏃♂️