Fayaaa 🔥.Dear Dad 😢
Mimi nimejifunza vingi JF na njee ya JF kwamba watu hatufanani mitazamo,
Fikra zetu , mbali na malezi na kwamba tumelelewa mazingira tofauti
Humu kuna watu wameumizwa na hata hawajawahi kupona unadhani wataponya wengine?
Kuna watu hajui maana ya upendo moyo wake haujawahi kupokea upendo unadhani ataweza kupenda wengine ?
So nilichojifunza ni kupokea vitu positive ili nisipoteze energy yangu kwa watu ambao wenyewe tu wanaitaji msaada
Nb. Kuna wengine ni washenzi washenzi tu wanajifanya akili fyatu kumbe wako timamu📌
Acha kabisa mkuu, kiba100...akabatizwa Le Kibamiaz!! Hizo mbanga hapana kwa kweli!!Kiber100? Au mechi sekunde 29!?🤪
Hallo!Nyeti za Mshana zikiwekwa live hapa watu wataitana na kufurahia wiki nzima, just like that!!
Halafu wanaomkandia sasa! Kama wameyapatia sana maisha kumbe washenzi tu!Alikula vitasa vya kutosha badala ya kupata nafuu maumivu yakaongezeka maradufu🥵
😅😅😅Nakumbuka ila una vyoona nafanana na mtu anaeweza kufanya hivyo?
Nimeumia sana hii mechi kuna mtu kaicheza njee ya uwanja 😭😭😭😭
Anyway hongera kurudisha Avatar hiyo ndio inakupendeza kama babu sio yule kijana mzungu😎
Jina la I'd yake kaliweka kwenye frame ya picha ofisini kwake, kila niki pita kumsalimia nacheka sana 😂JF kuna watu wanatunza mafaili encyclopedia imesingiziwa😂
Huyu ni Lucas Mwashambwa?Tuhuma bila ithibati
Utani wenye uhalisia
Wivu wa kijinga
Shuku kisa chitchat
Maskhara yanapogeuka ugomvi
Umbea kwa usiyemjua vema
Mas nitch
Hisia zilizotafsiriwa kinyume!🤔😫😷View attachment 3575009
Hapo Kilaza Promax ni Lucas Mwashambwa!JF ni kama mtaani tu watu waliopo humu ni wale wale waliopo mtaani
1 .Wambeya wako hapa tena kwa jinsia zote Me na Ke
2. Wenye wivu na roho mbaya wako hapa huyu anaweza hata kuchukia jina la I'd yako au avatar au namna una vyoandika : huyu ni kama mgonjwa😁
3. kuna wajuaji hawa wanajua kila kitu mpka unachowaza🤔😁
4. Kuna wenye makasiliko huyu anaweza kukupurupka na kumwaga matusi kama njugu😀
5.Kuna wapenda utani wao mda wote wapo happy 😊 na kufurahi na wengine
6.kuna wanaosoma mada na comment kisha wanapita hivi hawa sio watu wa maneno mengi
7.kuna wapolee tu hata kwa comment zao 🤗
8.kuna Ma genius 👏 akiendika sehemu unasema tawile
9.Kuna wanaojiita wasomi
Wachambuzi wa mambo
10. Kuna vilaza
Vilaza promax
Cha msingi wewe JF unaingia kwa lengo gani ? Ingia ila huepukani na kukutana na watu tajwa hapo juu🤝
Kama hufanani nae hebu tuone basi😅😅😅
Mechi imeahirishwa, nakupa points tatu na goli tatu😅😅
Aaah mambo ya avatar, unaweza kudhani nafanana na huyo mzulu, shauri yako😅