Makosa tuyafanyayo ndani ya JF

Makosa tuyafanyayo ndani ya JF

tutakutetea sisy😅😅😅😅
Yani, acha nikalale jamani 😂

Codes zangu ziligonga humo humo kwa Depal na bwana anayegombaniwa huyo certified hater 😹😹😹😹
Anagombaniwaje wakati huyo fake ni rafiki tu, ila ndiyo amecharuka kama huyo kaka ni mumewe.
Hao wana bifu toka kitambo aaahh huo ubuyu naujua mwanakwetu…!! 🤣
Hebu nipe, mbona sielewi elewi
Kwahiyo Depal alifiwa na mtoto au nani??
Hapo ndo sijajua..!!
Kafiwa na baba mzazi
Ila D humu ndani anaonekana wa moto sana anatuhiwa sana kubeba vichwa vya wenzie..!! Atakuwa mtramu huyu..!! Atupe tips anatumia nini na sie tutumie kwa wahalifu wetu..!! 😹😹😹
Binti mdogo bado teketeke, we bi kizee mwenzangu tulia tu, huo mnato sie wazee hatuna 😂😂
D Igweeeeeeeeeeeee
We demu mtundu mtundu sana!!
Au Marry J nyingi unazifukiza mpk kwenye nonino🤣😹😹😹
Marry J ndiyo nini?
 
Sio, ni bwanake kitambo na hii Sio mara ya kwanza kugombana..!! 😹😹😹
Basi ndiyo maana anavamia vamia mabinti anahisi bwana anaibiwa, mambo ya kujidhalilisha sana kama wanawake.
Huyo certified atakuwa na ya kimasai sio bure aje atuonjeshe na sie 🤣😹😹😹
Kwamba ziko 2 in 1 😂 😂 , mie akuu, habari za kuja kutishiwa kupigwa risasi na wajeda sitaki.
Nimecheka sana kmmk wallahi..!!
Ishu ni mnato, yeye anarusha maneno JF bwana anahangaika kupiga simu kwa D, anabembeleza 😂, D naye anakuja huku JF anasema aache kumpigia simu 😂😂.

Mumama mileage imeenda, kamnato hakuna ndiyo maana anahaha 😂😂.
 
Ishu ni mnato, yeye anarusha maneno JF bwana anahangaika kupiga simu kwa D, anabembeleza 😂, D naye anakuja huku JF anasema aache kumpigia simu 😂😂.

Mumama mileage imeenda, kamnato hakuna ndiyo maana anahaha 😂😂.
😹😹😹😹
Depal naomba namba ya mganga wako puliiiiizzz.!!!

Hii mara ya pili sasa mahi wanayabanga afu wanakusumbua..!! Si unakumbuka kwa miongozo 🤣😹😹😹
 
😹😹😹😹 Unaogopa risasi za bibi mjeda..!!

Hakuna atuonjeshe bana tuone yaliyomo yamo. Mambo kwa ushahidi..!!

Ngoja nitafute husiano la mtu humu nipate wa kugombana naye na mimi..!! 🤣😹😹😹
Mimi risasi hapana aiseeeh, hakuna ukuni wenye utamu huo.
We tafuta tu, mkitubuana mke mwenzio aje atuwekee HD 📸📸 za umbile lako humu tuanze kukujadili 😂
 
Back
Top Bottom