Makapuku Forum

Makapuku Forum

ZABURI 108

1.Ee MUNGU ,Moyo wangu u thabiti,Nitaimba ,nitaimba,nitaimba Zaburi,Naam kwa utukufu wangu

2.Amka ,kinanda na kinubi Nitaamka alfajiri.

3.Ee BWANA nitakushukuru kati ya watu,Nitakuimbia Zaburi kati ya mataifa

4.Maana fadhili zako ni kubwa hata mbinguni,Na uaminifu wako hata mawinguni.

5.Ee MUNGU utukuzwe juu ya mbingu Na juu ya nchi yote uwe utukufu wako.

TUOMBE

Tunakushukuru Baba wa Mbinguni kwa kutuamsha salama,wako wengi walitamani kuiona siku ya leo hawakuweza tunakurudishia sifa na shukurani Mfalme wa Amani.
Nakushukuru kwa kukuimbia kati ya mataifa maana fadhili zako ni kubwa
Ponya wagonjwa wote BABA ,Watie moyo waliovunjika moyo na wale wote wanaopitia changamoto mbalimbali kwa namna ya pekee tunamkabidhi kwako na tunamuombea mpendwa wetu BITOZ,mtie nguvu ,takasa dawa anazotumia takasa mahali anapolala,takasa madaktari na wote wanaomhudumia,Baba tunaomba uponyaji wake uwe wa haraka .
Tunawakabidhi yatima ,wajane,wahitaji baba watetee,wasipungukiwe.
Imarisha imani zetu ili tuweze kukitegemea wewe tu
Walinde wasafiri wote wafike salama ,nchi kavu,majini,angani
Tuma malaika wako wa yltuzunguke watuongoze tufanye kazi kwa bidii na kukupenda wewe tu
bariki kazi za mikono yetu,asante
Naikabidhi jumanne ya leo iwe ya kipekee, tembea pamoja nasi baba.
Tunaomba na kushukuru
Amen

NAWATAKIA SIKU NJEMA MUNGU AWABARIKI
Amen.....Ahsante Mama.....ubarikiwe
 
1934 - Majambazi wa benki Bonny and Clyde wanauwawa na FBI katika mapambano ya kurushiana risasi.

Majamnazi hao walitikisa sana ndani ya Marekani kwa kuvamia na kuiba katika Mabenki kipindi cha Mdororo wa Uchumi ( World Economic Depression. )
bonny n Clyde najua ni wimbo wa jay z ft Beyonce kumbe.....
 
WORLD CUP U20
2ebd3c4a9a91e7d47ef76d81d3009dc6.jpg
Senegal anaongoza kundi lake jana kampiga S. Arabia 2-0
 
1934 - Majambazi wa benki Bonny and Clyde wanauwawa na FBI katika mapambano ya kurushiana risasi.

Majamnazi hao walitikisa sana ndani ya Marekani kwa kuvamia na kuiba katika Mabenki kipindi cha Mdororo wa Uchumi ( World Economic Depression. )
walikuwa na historia nzuri sana ya mapenzi hawa watu
R.I.P Bonny & Clyde
 
ZABURI 108

1.Ee MUNGU ,Moyo wangu u thabiti,Nitaimba ,nitaimba,nitaimba Zaburi,Naam kwa utukufu wangu

2.Amka ,kinanda na kinubi Nitaamka alfajiri.

3.Ee BWANA nitakushukuru kati ya watu,Nitakuimbia Zaburi kati ya mataifa

4.Maana fadhili zako ni kubwa hata mbinguni,Na uaminifu wako hata mawinguni.

5.Ee MUNGU utukuzwe juu ya mbingu Na juu ya nchi yote uwe utukufu wako.

TUOMBE

Tunakushukuru Baba wa Mbinguni kwa kutuamsha salama,wako wengi walitamani kuiona siku ya leo hawakuweza tunakurudishia sifa na shukurani Mfalme wa Amani.
Nakushukuru kwa kukuimbia kati ya mataifa maana fadhili zako ni kubwa
Ponya wagonjwa wote BABA ,Watie moyo waliovunjika moyo na wale wote wanaopitia changamoto mbalimbali kwa namna ya pekee tunamkabidhi kwako na tunamuombea mpendwa wetu BITOZ,mtie nguvu ,takasa dawa anazotumia takasa mahali anapolala,takasa madaktari na wote wanaomhudumia,Baba tunaomba uponyaji wake uwe wa haraka .
Tunawakabidhi yatima ,wajane,wahitaji baba watetee,wasipungukiwe.
Imarisha imani zetu ili tuweze kukitegemea wewe tu
Walinde wasafiri wote wafike salama ,nchi kavu,majini,angani
Tuma malaika wako wa yltuzunguke watuongoze tufanye kazi kwa bidii na kukupenda wewe tu
bariki kazi za mikono yetu,asante
Naikabidhi jumanne ya leo iwe ya kipekee, tembea pamoja nasi baba.
Tunaomba na kushukuru
Amen

NAWATAKIA SIKU NJEMA MUNGU AWABARIKI
Ameen
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom