Makapuku Forum

Makapuku Forum

a33e0ecef21830da5cebf1c0d0f778df.jpg
05f0e02d01161944c73aee471852819e.jpg
Wenzetu wana utamaduni wa kusoma vitabu
......
Utaratibu wao ni mzuri
 
1934 - Majambazi wa benki Bonny and Clyde wanauwawa na FBI katika mapambano ya kurushiana risasi.

Majamnazi hao walitikisa sana ndani ya Marekani kwa kuvamia na kuiba katika Mabenki kipindi cha Mdororo wa Uchumi ( World Economic Depression. )
78201d2b75a38a2d3ae5faa575f75127.jpg
07bc829f19f4517719cab9c341aaabbd.jpg
faa1bed6b301f4446c4e25f043f0e36e.jpg

Bonny=Bonnie lilikuea ni jambazi sugu pamoja na demu lake
51382054ba5dc5d42080606131ed7f36.jpg

Muvi kibao zimechezwa kuwazungumzia
......
 
Poleni wakina mama mliofiwa na waume zenu kwa kuuawa bila hatia,na hata kama ilikuwepo sheria ilipaswa kuchukua mkondo.
Mungu anawaona na anawaangalia kwa upendo,jamii pia inapaswa kutambua makundi haya na kuyajengea uwezo na kuwasaidia,upendo,faraja,msaada wa kimwili na kiroho
ZABURI 68

5.Baba wa yatima na mwamuzi wa wajane,Mungu katika kao lake takatifu.

6.Mungu huwakalisha wapweke nyumbani,

Ndiye mtetezi wao,wajinyenyekeze mbele zake na hakika wataishi na kuyaona matendo makuu ya BABA.
Faraja ya Mungu ipitayo faraja zote itawale katika maisha yao Amen.
 
1945 - Mkuu wa Jeshi la kijerumani la Schutzstaffel( SS ) Heinrich Himmler anajiua.

Hiyo ni baada ya utawala wa Hitler kuanguka, na kamanda huyo kukamatwa.
20529d5cd027fea0eda30fd11765e0d8.jpg
912e2a797cb44bbceaa7fa037fc48efa.jpg
Hawa ndio wanaume halisi wa Kijerumani wana roho za paka kupambana hadi Mwisho walizidiwa hujiua ili kuepuka kidhalilishwa
Hitler km kiongozi wao alifanya hivyo japo kuna utata
Goebells km Waziri wa propaganda alifanya hivyo pia
.......
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom