Nyagei
JF-Expert Member
- Jul 7, 2015
- 13,201
- 44,601
Je walikuwa wanatoa huduma bure?Leo Katika Historia:
1911 - Maktaba ya New York kwa matumizi ya umma yazinduliwa.
Je walikuwa wanatoa huduma bure?Leo Katika Historia:
1911 - Maktaba ya New York kwa matumizi ya umma yazinduliwa.
Amen kaka You are Blessd too Mkuu Ipogolo Siku njema Mungu akubariki sanaBlessed Hope! You are Blessed! God bless you always.

Wapumzike kwa amani watu 10 waliofariki kwa mvua

RIP dereva aliyekufa maji akimuokoa bodaboda

Aisee1945 - Mkuu wa Jeshi la kijerumani la Schutzstaffel( SS ) Heinrich Himmler anajiua.
Hiyo ni baada ya utawala wa Hitler kuanguka, na kamanda huyo kukamatwa.
Hakika Polisi inaweza kuwakamata 12.tunawaombea katika zoezi hili

Mungu aingilie kati suala la mauaji Kibiti
Tunamshukuru Mungu Fistula kupata tiba ya uhakika,imetesa watu wengi

Asante kwa uponyaji wa Fistula,ni mateso kwa kina mama

Sijajua.Je walikuwa wanatoa huduma bure?
Marahaba za uzima,ubarikiweNipo mama Shikamoo
Amen asanteAmen
Ubarikiwe Mama mchuchu uwe na siku njema
Leo Katika Historia:
1911 - Maktaba ya New York kwa matumizi ya umma yazinduliwa.
Pumzika kwa amani mtoto uliyeuawa na fisi
Shukrani mkuu Mussolin5Leo katika Historia:
Niwatakie siku njema.
Sawa mkuuSijajua.