Mwanzo ni Mwisho
JF-Expert Member
- Mar 9, 2016
- 4,394
- 10,836
kanye west namkubali lakin ana mawazo ya ki satanic kweli huyu mtu8/Kanye Omari West![]()
Abapendelea kujiita Yeezus![]()
Ana umri wa miaka 36
Ndiye kidume wa Kim Kardashian na baba mzazi wa North West
Anaingiza pesa kutokana na mikataba aloyosaini na makampuni makubwa kama bile Nike,Adidas na Louis Built on
Pia anajishughulisha na biashara kibao
Ana mkawanja unaokadiriwa kuwa USD 110 milioni
..........
