Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 157,054
- 463,974
shemela lee wako leerapaWangejua tuu lee mweusi kama nini.. hahahaaa
Hayo mambo ya kukutana..oohh
Niko hapa London Bridge nimevaa White shirt..
Ooh, niko Golden Stone nimevaa gauni la njano..
After 3minutes.. namba haipatikani tena...
Hahahaaa...
lee wa kwangu mm ni mwarabu sio mweusi kila siku nakwambia lee sio mweusi au unataka kumbadilisha rangi


