Makapuku Forum

Makapuku Forum

Wangejua tuu lee mweusi kama nini.. hahahaaa

Hayo mambo ya kukutana..oohh

Niko hapa London Bridge nimevaa White shirt..

Ooh, niko Golden Stone nimevaa gauni la njano..

After 3minutes.. namba haipatikani tena...

Hahahaaa...
shemela lee wako leerapa
lee wa kwangu mm ni mwarabu sio mweusi kila siku nakwambia lee sio mweusi au unataka kumbadilisha rangi
 
Snipes naziona converse
sio kutuwekea mapanki huyu ndio Snipes ninayemfahamu aliyekimbiwa na Aisha

hivi Aisha yuko api toka alivyoweka tangazo la kutafuta mume kimya
zipo hapo kwa udhamini wako

kuhusu isha naona kashapata yule aliyekuwa akimtafuta kule tulipomkuta

tangu anipe cha mbavu sijamuona mpk leo na sio kawaida yake ilikuwa haipiti wiki lazima aje kusalimia, labda yupo kwenye fungate
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom