Makapuku Forum

Makapuku Forum

2/Sean John Combs
ad99d69a871b9472e9fef2935cdd6106.jpg
7248361385d50a79c64bece80ee8dc62.jpg
013abf20475c9d2722ef23d737b24458.jpg
3427af6e918a4e1758edacbc21860f17.jpg

Ana umri wa miaka 44 anajulikana zaidi kama P Diddy
Enzi hizo wakati damu ikimchemka alikuwa akitoka kimapenzi na Jennifer Lopez
Anamiliki kampuni kibao ikiwemo ya mavazi iitwayo Sean John
Anamiliki pia studio
Ana utajiriunaofikia USD 630 Milioni
......
 
1/Andre Romelle Young
bfe00a6ac2aca64b192cf9d20ca1c24a.jpg
1d90aca69f620db62c7a061783b69cc1.jpg
bb80c029189e7f6cec64fa5ed15fa7f6.jpg
Huyu jamaa huko kwa Trump nu kama Mkubwa Fella wasanii kibao wamepitia kwake
Ni prodyuza abayefahamika kwa jina la Dr Dre jamaa kweli ni daktari wa muziki
Ana umri wa miaka 49
Anamiliki studio na vitega uchumi kibao
Ana utajiri wa USD 790 Milioni
.
.
.
.
.
.
.Shukrani kwa mliosapoti mada
Tukutane Jumatatu
Mwisho
..............
 
Mjengo ulikuwa wa Tyson huo na alipofulia ndiyo huyu dogo akaununua. Shida ya hawa ni kwamba wengi wao wana matumizi mabovu na wana madeni ya kutisha. Kuna siri nyingi katika utajiri wao huu ndiyo maana wengi wana matatizo ya kodi kwa sababu huwa wanaogopa ku-file tax returns wakiogopa utajiri wao halisi kujulikana. Sababu hii hii ndiyo inamfanya Trump agome kabisa kutoa makaratasi yake ya kodi. Ni tajiri lakini wengi wanaamini kuwa siyo tajiri kama anavyojigamba. All in all they did good!
Aisee
 
1/Andre Romelle Young
bfe00a6ac2aca64b192cf9d20ca1c24a.jpg
1d90aca69f620db62c7a061783b69cc1.jpg
bb80c029189e7f6cec64fa5ed15fa7f6.jpg
Huyu jamaa huko kwa Trump nu kama Mkubwa Fella wasanii kibao wamepitia kwake
Ni prodyuza abayefahamika kwa jina la Dr Dre jamaa kweli ni daktari wa muziki
Ana umri wa miaka 49
Anamiliki studio na vitega uchumi kibao
Ana utajiri wa USD 790 Milioni
.
.
.
.
.
.
.Shukrani kwa mliosapoti mada
Tukutane Jumatatu
Mwisho
..............
Shukrani mkuu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom