Makapuku Forum

Makapuku Forum

Mpe maneno haya

JOE LYRICS

"More And More"

[Joe talking....]
Na Na Na (Baby)
Na Na Na (you got that look on your face)
Na Na Na (Like you wanna go all night)
Na Na (And I like that)
Oh Oh Na Na Na (I just want you to know that um..)
Na Na Na (I ain't got no problem with that)
Na Na Na (just as long as we)
Na Na (go to the next level.)

[Verse 1:]
For as long as you're willing girl,
Want you to know that I'm willing too.
And where you want me to go girl
I'll be willing to go there for you.
If you want me to take my time
I'll be willing to spend the night
All you gotta say is please stay Joe
And I'll be staying as long as you saying...

[Chorus:]
More and More
(Then after that you want)
more and more
(And after that)
more and more
(Then after that)
more, more

(I hear you saying)
more and more
(Then after that you want)
more and more
(Then after that)
more and more
(Then after that)
more, more.

[Verse 2:]
If you want me to make your love come
I'll be willing to do anything
Even if you want me to kiss places
I'll be willing to make you scream.
Said I'm down for whatever you say
All you gotta do is speak your mind
Want me here Monday to Monday,
then baby girl its fine
As you screaming more..

[Repeat Chorus]

[Bridge:]
Girl we'll be going,
from the bed to the floor baby
(then we'll be going)
From the bedroom to the kitchen
(Then we'll be going)
From the kitchen to the dining room
(Then straight to)
Straight to the living room
(I'll be taking you up)
Taking you up the stairs baby
(I guarantee)
Guarantee I'm bout to drive you crazy.
We'll be all over the house
As long as you screaming for me, saying give me more..

[Repeat Chorus (1 time)]
All the ladies sing with me..
Na Na Na
Na Na Na
Na Na Na
Na Na...
[repeat to fade]
cc: demi

Sent from my HUAWEI Y300-0100 using JamiiForums mobile app
 
10/Dwayne Michael Carter Jr
8e30dd29d888e6986b37d5f9e20f8386.jpg
5ff73d5f07da0b5492c2d091c29504a8.jpg
59f223b0df92ed07e2a4507d2bcc3890.jpg
Ana umri wa miaka 31
Anajulikana zaidi km Lil Wayne hakuna mtu anayefuatilia muziki wa mamtoni asiyemfahamu
Anaingiza mkwanja mrefu kutokana na kazi yake ya usanii pia anajishughulisha na biashara mbalimbali mfano mavazi n.k
Anajadiriwa kuwa na utajoli wa USD 100 milioni
.....
Siku hizi hasikiki sana
 
5/Bryan Williams
348dc5439a483ed396950d10da6f4587.jpg
90253f44e3eea26784dd1f06ccd15c8a.jpg
76d1db5e056f4991d69afdf569702882.jpg

Ana umri wa miaka 45
Anajulikana zaidi kama Birdman
Huyu anavuta mkwanja kutokana na mikataba yake minono aliyosaidi mfano Cash Money ,pia ana biashara kibao pamoja na majumba ya jifahari
Ana utajiri wa USD 230 milioni
.......
 
Furahiday; Muziki, Kula, Kunywa na Kufurahika.

Ni siku nzuri katika wiki, wengine huifanya kuwa nusu siku na wingine japo ni siku kama siku nyingine lakini hii ni Furahiday.

Tunafunga kazi, tunafunga ripoti, tunakusanya assignment na kupanga plans za kufanya tunapopumzika. Katika kufanya mipango, nami nina mipango yangu ambayo haiwezi kuwa na sawa na yako. Ila tukikutana hapa mida hii unaujua kabisa mpango ninaouleta hapa, muziki. Na hasa sauti ya gitaa katika muziki.

Kizuri zaidi mdau Sweetiepie kaahidi kuanza kuporomosha nyimbo siku za wikend ikihusisha mwisho wa mwisho wa wiki. Tusubiri.

Jioni hii hebu tubakie hapa hapa Afrika na kuwatizama wapigaji gitaa maarufu wa miziki ya bendi na hata 'binafsi'. Na tunamwangalia gwiji kweli kweli aliyekubalika na wote waongea kiingereza, kifaransa, kiswahili na ligha nyingine nyingi za kiafrika. Huyu ni Francois Luambo Luanzo Makiadi almaarufu Franco.

Kwa tuliokuwa tunakuwa miaka ya 90 tunakumbuka namna nyimbo za gwiji huyu zilivyotawala vituo vya radio nchini. wimbo wa Mario kwa mfano, ulikuwa na sifa kubwa hapa nchini kama ilivyo kwa karibu ukanda wote wa kusini mwa Afrika.

Franco anajulikana pia kwa kuwa na nyimbo ndefu sana, wimbo Kimpa Kisangameni unapanda mwendo kasi toka Masasi kwenda Lindi na ukifika Mnazi Mmmoja ndo kwanza korasi ya kwanza ndo inaishi na wimbo unakorasi zinazofuatana, Kulwa, Dotto na Shija.

Alitoa album zaidi ya 150 na nyimbo alizotunga yeye ziko kama 1000+. Huyu ndiye Franco rafiki wa iliyokuwa Zaire ya Mobutu.

Alifariki mwaka 1989 na serikali ilitangaza siku nne za maombolezo huku kituo cha redio ya taifa kikipiga nyimbo zake asubuhi hadi jioni.

Hapa tumwangalie na wimbo wake Mario, mwingine aliyeimba nanye ni almaarufu Madillu System, lakini kikubwa sikiza alivyokuwa akidonoa gitaa lake kwa mtindo wa Afro-Cuban , kupanda na kushuka kwa tone ya nyuzi.

Wikend Njema Makapuku

 
Msaada kwa mtu mwenye shida, hata kama uwe mdogo namna gani, unaweza kuleta furaha ya kweli na hata kubadilisha mtazamo wa maisha yake. Tujenge tabia ya kuwasaidia wenzetu wasio na kitu na kuwafariji wagonjwa wanaoteseka huko mahospitalini. Huu ndiyo dini ya kweli!
84c83dd694f97c38efa1a611ef23d79f.jpg
Utakuta mtu unatunza nguo za zaidi ya mika mitano iliyopita, huwezi kuzigawa (endapo zipo kwenye hali nzuri), stoo limejaa makorokoro ambayo huyatumii iwe ni viti, radio, magodoro, mashuka, viatu, masufuria, na mazagazaga kibao)
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom